Recent content by mtakatisha fedhwa

  1. M

    Ripoti mbili za kamati teule za bunge leo zimetoa funzo moja kubwa kwa Watanzania, kwamba CCM haipaswi kuwa madarakani

    Politicians they are almost the same,,,, tusije tukajidanganya watanzania lakini tunapopata viongozi ambao wanaonyesha nia ya dhati kwa taifa letu hatuna budi kuwaunga mkono bila kusahau kuwa wao pia ni wanasiasa na wana character zile zile,,,, maendeleo yetu hayawezi kuletwa na wanasiasa pekee...
  2. M

    Wanachama wa Simba tumelazimishwa kupitisha muundo mpya wa Club...

    Hii ndio mijitu inayoturudisha nyuma hadi kwny masuala ya kitaifa jitathmini ikiwa ww ulizaliwa kambolo kidogo au kakuma kadogo lkn sa hv hadi Mkono unapita na mivuzi hihaa ndio mabadiliko hayo sasa unataka ss tuwe kama hao ccm wa yanga ambao hawapendi maendeleo,,,, tuachie mpira wetu nenda kwa...
  3. M

    Bill Gates anywa maji ya Kinyesi

    Fumbo mfumbie mjinga,,, sisi sio machizi we unaona waziwazi kimba likikamuliwa na unywe maji ake!!!!! Aku hatutegeki hapo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom