Politicians they are almost the same,,,, tusije tukajidanganya watanzania lakini tunapopata viongozi ambao wanaonyesha nia ya dhati kwa taifa letu hatuna budi kuwaunga mkono bila kusahau kuwa wao pia ni wanasiasa na wana character zile zile,,,, maendeleo yetu hayawezi kuletwa na wanasiasa pekee...
Hii ndio mijitu inayoturudisha nyuma hadi kwny masuala ya kitaifa jitathmini ikiwa ww ulizaliwa kambolo kidogo au kakuma kadogo lkn sa hv hadi Mkono unapita na mivuzi hihaa ndio mabadiliko hayo sasa unataka ss tuwe kama hao ccm wa yanga ambao hawapendi maendeleo,,,, tuachie mpira wetu nenda kwa...
Fumbo mfumbie mjinga,,, sisi sio machizi we unaona waziwazi kimba likikamuliwa na unywe maji ake!!!!! Aku hatutegeki hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.