Mkuu suala hilo halipo mbona kuna jamaa yangu amemaliza master na ameunganisha na phd bila matatizo na ni mwalimu na bado yupo kazini kama kawa.Hebu nijuze sifa za kujiunga shahada na pia diploma ktk chuo kikuu huria nina hamu sana ya kujiunga.
Wadau naomba mwenye uelewa juu ya sifa zinazotakiwa ili kujiunga na chuo kikuu huria Tanzania kwa shahada ya kwanza katika elimu(first degree in education).na pia sifa za stashahada(Diploma) ya elimu. Asanteni.
===
Sifa kwa wanaotaka kuingia vyuo vikuu (The ones who wish to join Universities)...
Mimi ni nilikuwa karani wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika2012.Napenda kueleza kwa masikitiko makubwa dhuluma tuyofanyiwa sisi makarani wa sensa katika mji mdogo wa Orkesumet-simanjiro ya sh.70,000/=tuliyopunjwa bila sababu hadi leo hatujalipwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.