Wadau napenda kutangulza shukran zangu za dhat kwenu! Nimekua nikipata msaada zaid kupitia nyinyi!!!
Leo nimekuja na mada nyingne.
Nina sim angu aina ya asha 302 ilikua ikifany kaz vzur ila kuna siku nikiwa katka matumiz ya intanet cm ili stuck ksha ikaandka conflict in OS. Nlijaribu kutoa betr...
Wadau nahitaji whatsapp plus lakin kila nikii itafuta playstore na other unknown source siipati!! Kama kuna m2 anaweza nipa direct link pls naomb ani2miae!!! Ahsanten
Umekariri wewe!! Tena ukijitizama wew ndo upo cha kike!! Hujui hata masim ya ttcl yale ya kulipia barabalan nayo ni phone???
Neno mobile ndo unakua specific sio phone cos neno phone lipo general sana
Wanajamvi kuna application nimetengeneza inaitwa ''masaba chat'' ila bado sijai publish kwenye play store wala amazon store sababu nikutaka kujua ubora wa application yangu na inaweza kusapot sim gan na haisapot sim gan!!! Nataka kujua hayo yote ili niimalizie kuiediti na kisha kuiweka sokoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.