Recent content by Mtaalamua wa samaki

  1. Mtaalamua wa samaki

    Natafuta msaada wa wazo la biashara

    Hakikisha biashara unayo enda kufanya unaielewa, ukiweza tafuta boda, mpe mtu uwe na uwakika wa kula kuanza biashara ni changamoto sana, mambo ni magumu kwenye biashara au tafuta mtu unaye mjua kuza mtaji muanze kula faida.
  2. Mtaalamua wa samaki

    Ufugaji samaki kibiashara

    Mbinu muhimu wakati wa uanzishaji ufugaji wa samaki i. Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji. Ni wazi kuwa dhamira ya kweli ni kitu muhimu sana unapotaka kufanya jambo lolote kwani bila kudhamiria basi huwezi kufanikiwa, matokeo ya kutokuwa na dhamira ni kukata tamaa...
  3. Mtaalamua wa samaki

    wataalamu w ufugaji samaki

    kufuga samaki kwenye matenki ,mabawa 0756003378 mahitaji ya vifaranga ushauri wa kitaalamu
Back
Top Bottom