Jaji Chande na tume yako tunataka kusikia haya kwa ufasaha kabisa!..
1. Nani alifadhili machafuko yale? Nani alipokea hela za Open Society kufanya vurugu zile?
2. Nani ndani ya CHADEMA alipanga vurugu zile na mapinduzi ya serikali?
3. Nani aliruhusu JWTZ watoke kambibi Lugalo na kuungana na...
Na Mwl Udadis, Nyakato-Mwanza
Rais Samia anaendelea kuonyesha upendo wa dhati na dhamira thabiti kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kupitia miradi mikubwa inayobadilisha maisha, biashara na uchumi wa Mwanza na Kanda ya Ziwa kwa ujumla.
Amezidua meli kubwa na ya kisasa zaidi Ziwa Victoria, MV New...
Ndugu Godbless Lema kwa muda sasa amekuwa ni "specialist"wa kuwatabiria vifo viongozi wa Serikali na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi. Kibaya zaidi Vifo vikitokea Machema wanajifungia sehemu na "kuchoma" nyama.
Wakati wa Kifo cha Hayati John Pombe Magufuli walifanya hivyo, wakati wa kifo cha...
Na Wakili Charles N. Heche
Mwaka 2023, aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu, alitua katika Uwanja wa OR Tambo kuhudhuria semina akiwa na timu ya rafiki zake. Ni katika kipindi hicho Operesheni ya CHADEMA ilisimama kwa sababu chama kilikosa fedha za usafiri na posho kwa wajumbe. Swali...
Na Mwl. Udadis, Mazimbu
Value Retention Fee (VRF) kwa lugha ya Kiswahili ni tozo ya kutunza thamani ya fedha (mkopo). Kwa wanufaika wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, kila mmoja alikuwa akilipa 6% ya deni kama VRF, jambo lililokuwa likiumiza wanufaika. Kitendo cha Rais Samia kuamua kufuta tozo...
Uchaguzi Mkuu wa 2025 unakaribia. Rais Samia Suluhu Hassan anaonekana kuwa na nafasi kubwa ya kushinda na moja ya silaha zake kuu ni aina ya wagombea ubunge waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wagombea Wenye Ushawishi
CCM imepitisha wagombea wanaopendwa na wananchi na wenye historia ya...
Golf Mike Uniform!
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini tarehe 30/06/2025 kuanzia majira ya saa 9 alasiri Viongozi wa CHADEMA kwa kushirikiana na Mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha Mataifa yao nchini wanataka kuvunja sheria na kanuni za kidiplomasia kwa kuangilia mambo ya...
Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali
Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda...
Na Mwl. Alfred Maziku – Dar es Salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuimarisha misingi ya utawala bora, kwa kuruhusu kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kesi ya kiongozi wa...
Na. Johnson Mgwabati
Mtaalaam mmoja wa sheria Albert Venn Dicey aliwahi kutafsiri dhana ya Utawala wa Sheria (Rule of Law) kuwa ni “kufuata sheria kama zilivyo.”
Lakini bingwa mwingine wa masuala ya uendeshaji wa makosa ya jinai, utetezi na ushahidi, Prof Abdallah Safari, anasema katika andiko...
Dodoma Kumewika!
Hii leo Chama cha Mapinduzi [CCM] kimezindua ilani yake tayari kwa mbio za Uchaguzi mnamo mwezi Oktoba 2025.
Ilani ni ahadi, ilani ni agano linaloingiwa kati ya CCM na wananchi juu ya nini wanaenda kufanya kwa ajili ya watanzania pale watakapokuwa wakiomba ridhaa ya wananchi...
Na: Crispin K. Mutalemwa
20.05.2025
Ujio wa Rais wa Namibia Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah nchini ni alama nyingine yenye hadhi ya nishani ya juu katika koti la uongozi kwa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Tanzania kiujumla.
Dr. Netumbo akiwa Rais wa kwanza mwanamke nchini Namibia anafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.