Recent content by Msumbufu1953

  1. Msumbufu1953

    Nataka Computer complete kuanzia RAM 2 na hdd 250

    😂😂 Hayo umeongeza wewe.
  2. Msumbufu1953

    Nataka Computer complete kuanzia RAM 2 na hdd 250

    Naomba wanipigie walionicheki, sikuweza kupokea simu kutoka na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.
  3. Msumbufu1953

    Nataka Computer complete kuanzia RAM 2 na hdd 250

    Offer yangu ni 150,000/= Nicheki kupitia 0625575831 Location Dar
  4. Msumbufu1953

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    😂😂Yani umeona uwapige kichwani watu wa sekenke
  5. Msumbufu1953

    Ni wapi ulipotoka, ulipo sasa na unategemea kuwa wapi baada ya miaka 5?

    Huwezi kusema umefeli, bado mapema. Dar kuwa na ofisi inahitaji uwe na pesa kiasi kilichochangamka kidogo kutegemeana na aina ya biashara unayofanya. Biashara ya kutoa huduma ni nzuri zaidi kuliko ya kununua mzigo uuze(machinga).
  6. Msumbufu1953

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Unafanyia mkoa gani Good, nitakutafuta unipe ABC
  7. Msumbufu1953

    Karibu tufanye biashara ya mazao mbalimbali kutoka Rungwe, Mbeya

    Mchele wa mbeya Grade 1 bei gani
  8. Msumbufu1953

    Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

    Vocha na bidhaa zingine ndogondogo lakini kwa ujumla biashara ya duka ni pasua kichwa sana sikushangai ww kuomba ushauri
  9. Msumbufu1953

    Biashara ipi unaweza kufanya mitaa ya kishua?

    Fungua duka la mahitaji ya nyumbani ila uuze vitu classic tu mfano blueband vitu vingine ambavyo unaamini sio vya uswahilini
  10. Msumbufu1953

    Nauza Banda la biashara pamoja na bidhaa

    Halipo hata maeneo ya barabarani ndugu yangu
Back
Top Bottom