Chuo cha DIT Dar es salaam campus kuna shida kwenye mfumo wa application kuna stage ukifika nadhani ni stage 3 ambapo inabidi uweke index number za muombaji uli kuverify matokeo, ukifanya process zote mfumo bado unakurudisha hapo hapo.
Mbaya zaidi hata number za simu zilizotolewa pale zote...
LATRA - Mwanza Jiji hii post wanapita kama hawaoni,hii route ya usagara ...mjini,kisesa,airport etc haijakaa sawa hata kidogo.Kwanini magari yanageuzia pale Buhongwa bila kufika mwisho yan usagara hasa hasa wakiwa wanatoka mjini kurudi usagara ???Na kwanini pale buhongwa wameweka route yao kwa...
Honda stepwagon,ninavutiwa na muonekano wake .
Kama kuna mtu anaitumia humu anaweza kutupatia uzoefu wake na pia changamoto zake kama zipo lakini pia upatikanaji wa vipuri kwa hapa Tanzania ukoje ukizingatia hapa nchini wengi wanapendelea magari ya Toyota.
Karibu kwa yeyote mwenye taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.