Na kumbuka kuna maandiko haya "Kila nafsi itaonja umauti" na lingine linasema "Mwanadamu yoyote aliyezaliwa na Mwanamke siku zake za kuishi zinahesabika" Je una hoja gani kuhusu hayo maandiko mawili?
Habari wadau,
Ningependa kufahamu labda kwa kuwa uelewa wangu juu ya mambo ya kiroho ni mdogo, Je kifo kinachotokea kwa binadamu ni mpango wa Mungu? na Je! kama ni mpango wa Mungu kwa nini kwenye Amri ya Tano alisema 'USIUWE'
Naombeni mnielimishe wadau kwa hoja za kistaarabu, tena kutoka kwa...
Kumbukeni Manji alishastafu, Hata kama asingekuwa kastaafu kesi ingekuwa ni ya kampuni ma sio yeye binafsi! Since kashastep down hana kesi kabisa hapo!
Good .... even me nimeuliza hvy hivyo lakini watu wameishia kutokwa na povu while kilicho andikwa MwanaHalisi Online jina la Mwandishi alioneshi kuwa ni Kubenea
Ndugu ungetoa Credit kwa Mwandishi Ansert Ngurumo aliyeandika hiyo Makala kupitia Gazeti la Mseto liliotoka Alhamisi but umefanya vizuri kuileta jukwaani watu wajue ukweli maana tumekuwa wakuiga tu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.