Habari wakuu
Mzee lowassa hakutajwa kwenye ripoti yeyote ya ufisadi nchini
Makada mbali mbali wa ccm wametajwa katika ufisadi lakini hadi Leo hawaja tumbuliwa na kupelekwa mahakama ya mafisadi
Mzee lowassa shikamoo wewe nywele nyeupe,moyo mweupe na kamaadili upo clean
Sent using Jamii...
Hii imetokea huko kwenye wilaya wakati raia huyo anahojiwa na DC mbele ya polisi DC akamchapa kibao raia mwema
Je, kwanini polisi wasimkamate DC palepale kwakuwa ameshambulia?
Hawa lazima wawemo kwakua wanazo historical background za michakato ya madini na sharia zake
Kwakua ni wazoefu
Haaahaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.