Recent content by Msukuma Original

  1. M

    Should Google also charge Tanzanians to open account, register email etc?

    Mbona wote hapa JF tunakujua wewe hujui kiingereza.
  2. M

    Nawauliza mnaomtetea Hamza, Kwani gaidi Osama bin Laden alikuwa ni mtu mbaya kwenye jamii ya kawaida?

    Na wewe usituchoshe na mathread yako ya kipumbavu ya kulipwa 7,000.
  3. M

    Eneo lile lile: 1998 Magaidi walilipua ubalozi wa Marekani wananchi wakakimbilia kushuhudia leo kaibuka Hamza watu wamekimbia!

    Mkuu unaona raha kuanzisha thread? Huwa huoni hata aibu? Au kuna malipo unayapata kwa kuanzisha thread?
  4. M

    Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

    Hivi wewe mjinga nikikutukana nitakuwa nimekosea?
  5. M

    CHADEMA wanajiita Chama Kikuu cha upinzani wakati walipata mbunge 1 wanatumia vigezo gani?

    Ni jambo jema kusikia unakiri kumbe kwa sasa hatuna tume huru. Hongera kwa hilo.
  6. M

    CHADEMA wanajiita Chama Kikuu cha upinzani wakati walipata mbunge 1 wanatumia vigezo gani?

    Wewe na nawe punguani kweli. Watu wanakuonea huruma na kukushauri ujistri na upumbavu wako unaokudhalilisha hapa JF bado umekaza shingo tu.
  7. M

    Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

    Huyu Idugunde simlipii mahali. Wazazi wake nitawadangaya nitalipa kidogodogo, wakiniruhusu ndio imeisha hiyo.
  8. M

    Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

    Ndio nambembeleza hapa Idugunde nichukue jiko. Ila akirogwa tu anikubalie naenda kumpasua jicho.
  9. M

    Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

    Idugunde vipi hutaki offer ya ndoa mama? Changamkia bahati wewe, mumeo Sabaya kashapata bwana mpya huko gerezani. Wahi nafasi, nataka nikuweke ndani japo sina mahali, nitalipa kidogo kidogo.
  10. M

    Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

    Wewe sema kama unanikubalia nikuoe. Hakuna mwanaume mwingine zaidi yangu atakayekubali kukuoa. Changamkia bahati, shauri yako.
  11. M

    #COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

    Halafu huyu Makubi si ndio huyu aliyekuwa daktari wa jiwe? Kama alishindwa hata kututangazia yaliyompata Jiwe hii chanjo si itatupeleka alipo Jiwe.
  12. M

    #COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

    Hii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.
Back
Top Bottom