nani kasema wataajiri kwa umri huo? pia ikumbukwe JKT haijiri bali hutoa mafunzo kwa vijana ili waweze kua wazalendo, wajishughurishe na maswala ya uchumi kwa kutumia stadi za kazi walizozipata JKT na kua tayari kulijenga Taifa kwa moyo.Kupata ajira sio lazima bali nafasi huwa zipo.
naomba kuuliza jambo ndgu zangu. Kwa mwenye elimu ya kidato cha sita anapaswa kuambatanisha vyeti gani wakati wa kutuma maombi, je ni vya form six na kuzaliwa pekee au na cha darasa la saba na vya form four?
naomba kuuliza jambo ndgu zangu. Kwa mwenye elimu ya kidato cha sita anapaswa kuambatanisha vyeti gani? je, ni vya kuzaliwa na vya kidato cha sita pekee au hadi na vya form four na darasa la saba?
naomba kuuliza km muombaji ni wa kidato cha sita.... je anatakiwa kuweka vyeti vya kidato cha sita na cha kuzaliwa pekee? au hadi vya la saba na form four
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.