Miaka 15 nyuma iliyopita nilikuwa nikiishi na babu yangu, ambaye alikuwa ni matibabu wa matatizo ya kiswahili, alifanya kazi hiyo kwa muda mrefu sana na alikuwa akinishirikisha katika tiba zake, mimi bila kuelewa alikuwa akimaanisha nini kunikaribisha katika shughuli zake na hali ya kuwa mimi na...
Huenda yuko sahihi kwa upande mmoja, au pia asiwe sahihi hata kidogo.
Ila mimi naona kuwa tatizo la hao walimu 5000 kutojitokeza sio kwa sababu ya vyeti feki. Au labda watoe takwimu, tangu waanze kukagua vyeti feki wamepata vingapi??! Ili tuweze kufanya comparison.
Utaratibu wa utumaji wa vyeti...
Vijana wengi mnapoambiwa msome dini mnakimbia madrasa, matatizo ndo kama haya... Mnachukua maamuzi kwa kusikia sikia.
TALAKA TATU maanake ni kumuacha mke mara ya kwanza, halafu ukamrudia, then ukamuacha tena, halafu ukamrudia..sasa hapa ukimuacha tena ndo huruhusiwi kumrudia mpaka aolewe na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.