Were ni mchawi maana hill neno limekukaa au labda huna elimu maana kwa MTU aliyeenda shule kwa alilotenda fei ni kosa kubwa na alipaswa akemewe na atafute njia sahihi ya kuondoka
Naona hutumii akili katika kufikiri simba walimuuza samatha na hawakumuachia na kama fei kapata timu aimbie iende mezani kuongea na yanga and dat's professionalism sio ngonjera zako Mpira ni biashara
In ww ii mkombozi wa Russia alikuwa marekani akimuokoa toka mikononi mwa Adolf Hitler naamini kwa technology ilivyokua and still USA is heavyweight of da world mengine ni porojo tuu na anautumia ukubwa wake kimkakati sio kupiga piga tuu. It's like una watoto na fujo zao muda mwingine unawaadhibu...
Naomba msaada kwa yeyote yule anayeweza nisaidia kupata nafasi ya course ya clearing and fowarding diploma nimepata ufadhiri now naombeni msaada
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.