Recent content by MSTARI WA NYUMA

  1. M

    90% ya wafanyakazi wa Serikali wanapiga soga na story maofisini. Je, tunawalipa mishahara ya bure?

    Bora wapige soga tu,mbona wabunge wanakomba hela na hamuwafanyi chochote,lakini lawama zote kwa watumishi Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  2. M

    Mke wangu kanikimbia

    Mi mwanamke akisha kuwa na wivu uliopitiliza,unanipa usumbufu Sana wakati mimi simfanyii hivyo,huwa nakata mahusiano!Uhusiano haupaswi kuwa kero hata kama ndo kupenda kwenyewe Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Naomba mwenye ujuzi, uzoefu au connection ya kufanya modification ya muonekano wa Toyota belta

    Umenikumbusha kuna mada moja humu jukwaani inaelezean vile walivyoibadilisha Alphad Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  4. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Kabisa kiongozi,huenda sisi Waafrika tumetawaliwa na roho mbaya sana Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  5. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Huyo jamaa ndio zake, fuatilia majibu yake kwenye majukwaa tofauti anapenda kujifanya mjuaji na mjivuni! Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  6. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Nadhani wameifunga kwa muda sabu hata mienapata ujumbe huo pia Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  7. M

    Hii gari Alphard imenifurahisha sana, sijawahi ona ya hivi

    Da nimecheka balaa Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  8. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Mi kila nikiingia naambiwa huduma hii imefungwa kwa sasa Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Aisee waliweka mambo kinyume Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  10. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Ndo hivyo,Hawa inabidi wapigiwe kelele kama mwaka jana sikosei Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Hazina si ndo walipaji mkuu au kunawengine? Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  12. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Bila shaka watakuwa hazina sabu wao ndo wanahusika na makato na malipo Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Huenda shida ni hazina wenyewe na sio Bodi Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  14. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Wadau walilamikia hilo suala wakarekebisha baadae kama baada ya wiki hivi Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
  15. M

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Ni kweli hata mi pia nimeona,ishu kama hii nakumbuka hata mwaka flani iliwahi tokea,Hawa jamaa sijui wanatuonaje yaani Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom