Na nahisi hata JD zao zimebadilika wale wa enzi za mwalimu walikuwa very committed na nchi Yao Hawa wa saizi wanataka tuwe tuna sifu na kuabudu tu ukienda kinyume wanakushughulikia🤣🤣🤣
Atuambie kwanza je DSO na RSO Hawa ni wafanyakazi TISS au ma agent na kama ni wafanyakazi wa TISS mbona wanafahamika lakin pia na wale walio chini yao ni ma agent au wafanyakazi wa TISS mbona tuna wajua? Halafu pia huyo jamaaa inaonekana anaujua vizuri mfumo wa TISS anijuze tu mishahara Yao...
Halafu ni ushamba tu,kusujudia kazi ya mtu mwingine ambayo haikusaidii wewe na familia yako, nchi inaliwa na wao wapo busy kweli kushona Kaunda suti, na kutufuata vijiweni kutusikiliza et nani tunampiga spana ndio kazi wanazozifanya
Nakuunga mkono mia Kwa mia. Kuna DSO mmoja wilaya flani alikuwa anajiona sana et anakuja bar akipata Malaya pale akagonga basi mtu mwingine akimchukua Kwa siku nyingine mwamba ananyoshea watu bastola, kiufupi alikuwa mshamba sana,sijajua malipo Yao ila naamini watumishi wa umma mishahara ndo Ile...
Siwalaumu kufanya kazi katika mazingira hayo lakini niwajuze tu hakuna kada inayodharauliwa kama kada ya ualimu na walimu wenyewe Kwa ujumla. Waajiri wana vibuli sana ukidai haki zako unaambiwa kwanza Kuna walimu wengi mtaani, kwa hiyo walimu masikini waliosota kitaa wanaamua kuishi katika...
Tatizo lilianzia kwenye ufadhili wa USAID kwenye nchi zetu za afrika hususani TZ vijana wameleft group wameanza kuvutiwa na wanaume warefu😂😂😂😂 tunakushukuru sana TRUMP mwakalobo Kwa kulifuta Hilo shirika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.