Recent content by Msoropa

  1. M

    Mkapa above the law?: Allegations

    Did I say Kaunda? my bad. Nilichemsha, Akhasante kwa kunikosoa.
  2. M

    Mkapa above the law?: Allegations

    Kiongozi ambaye hakuwa mlafi (South East Africa, forget abuot the rest of Africa) ni JKN. Alipo rudi nyumbani (tutakwenda wote)ikawa ni kula nchi hapa kwetu. Majirani zetu! Museveni, Kibaki, Arap Moi, Kaunda, Mugabe, Chiluba,Sam Nujoma na wengine zaidi wote walafi tu na wanaendelea...
  3. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Komadoo Es aliamua kunitolea nje. Na sjui kwa nini, ndio maana nikaamua kumjibu. yangu yamekwisha tuendelee na mada hii.
  4. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Ndugu, mimi pia nilienda shule (1982-1989) huko huko "ma-us" na nimefanya kazi sehemu nyingi tu za kueshimika. Sasa hivi nina jifanyia kazi mwenyewe na natesa tu. Waliokuwa wananicheka sasa wanajicheka. Sina haja ya wewe kunielimisha kuhusu elimu yako.Ilimu yako ni yako mukichwa. Majina...
  5. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Hapo sasa. Nasikia au nimesoma hapa JF kwamba hii nyumba iko Upanga, au Zimbabwe et al.....
  6. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Mimi sijakutukana au kukukashifu, sasa haya yameanzia wapi?? Naomba Heshima juu. Kama unanijua vizuri kama unavyosema hapo juu Inaelekea una kinyongo na mimi. Sijakuchokoza wala nini. Au kusema huna ubavu imekuumiza sana? Kama hakuna heshima wewe endelea tu kupiga madongo baharia...
  7. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Elimu yangu ndogo sana kulinganisha na ya kwako mheshimiwa!! On serious note Ninaziomba hizo picha.
  8. M

    Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007

    Du!!! kazi kweli kweli. Lete data, asiyetaka kuziona afumbe macho.
  9. M

    Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

    Komandoo Es Kwa nini wewe unaogopa kuziweka? una ubavu ndugu?
Back
Top Bottom