Recent content by msoro

  1. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Watawa walifukuzwa kipindi hiki cha uongozi mpya Jimbo lake Br. Godfrey songea br. damian songea br. elia mbinga br.dionis mbinga br. matias njombe br. jerome songea br. viktor mtwara br. patrik mahenge br. pio songea br. francis zomba br. placido...
  2. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Idara za abasia Kiongozi wake Jimbo anakotokea Kizizi Br. Gregory Njombe Bucha Br. Damas njombe umeme br. alfons njombe makanika br. anselmo njombe plumber br. mukasa njombe jiko br. ambrose njombe bakery br. ambrose njombe casher br. petro...
  3. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Nakubaliana nawe kuwa hizo ni hisia na tuhuma. Kawaida vyombo vya dola kunapo kuwepo tuhuma nzito kama hii ya mauaji, huwashikilia watuhumiwa au huwahoji kwa kina. Vyombo hivyo havija fanya hivyo. Hilo halinishangazi, kama kweli Fr. Fidelis alitoa milioni 30 kumfunga Br. Aidan, halafu halipo la...
  4. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Moma2k na Candid Scope, Kwa nini tangu niposti mistari hii mmepotea moja kwa moja. Nilijua tu ni mbinu za kupoteza malengo na ufanisi wa kuwapata wauaji wa Prof. Mwaikusa. Nimesoma gazeti la jana, sasa namcheki prior wangu Fidelis humu humu ndani nione reaction zake. Kama hawa jamaa...
  5. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Mohamed Ngwasu Umenikumbusha huyu Fr. Fidelis miaka ile ya 2001 alimwandikia barua chafu mno Br. Edmund wakati huo akiwa ameshikilia umakumu wa pili katika shirika hili. Barua hiyo ilimchukiza edmund akaamua kuwasambazia watawa wote na kisha akaachia nafasi zote za uongozi alizokuwa amashika...
  6. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Moma2k na Candid Scope, wote mabandiko yenu yanatokea humu ndani abasia ya Peramiho. hebu toeni kitu kuhusu koti hiyo hapo juu. Kama hoja hii ipo mbali na mauaji ya Prof tujibuni. Nasubiri kusoma gazeti la jana. Nakala ipo njiani kuja Peramiho. Hebu tuone mambo yakoje. kama hamuhusiki na kifo...
  7. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    kamajuzi, ile gazeti ya Majira huyu mafya Fr Fidelis alisema eti shirika lilikuwa na hisa tangu 1990. Mwongo saanaaa. unajua nini, mwaka 1990 ukanda wa kusini ilikuwa marufuku kuchimba madini. Kule Lukarasi kulikuwa pori tu, tena nimechunguza kwa kina: alikuwepo mzee mmoja ambaye ndiye...
  8. M

    Who really killed Prof. Mwaikusa?

    Raia Mwema aliandika: "Kwa mujibu wa taarifa hizo, Profesa Mwaikusa naye alikuwa ameteuliwa kuwa mmoja wa wawakilishi wa shirika hilo kwenye mgodi huo wa dhahabu, kwa barua ya Agosti 12, 2003 iliyowekwa sahihi na Buruda Aidan na Buruda Edmund wote wakionyeshwa kuwa na hisa 2000." Hii inaashiria...
Back
Top Bottom