Mbona hiyo fani yako kaz zinapatkana sana, inawezekana wanaogopa hiyo masters yako, ucjal utapata tu, gata ukipata mshahara wa chini ni bora ufanye huku ukiendelea kucheck kwenye mshahara mkubwa zaid, ni bora kutafuta kaz ukiwa kazin kuliko ukiwa jobless, zaid ya yote pole sana kwa matatzo ya...
alichosema yy n kwamba ajira zitatangazwa wakati wowote, endeleeni kusubir, sasa kuna watu walipata tetesi kuwa itakuwa mwez wa tano!! Sasa kama una kaz ya kufanya umepata we fanya tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.