Recent content by msomi duni

  1. msomi duni

    Ushauri juu ya biashara ya kuuza na kununua vitu used (furniture na electronics)

    Habari wadau wa JF kama mada inayojieleza hapo.. Natamani kuanza huu biashara kwa wenye uzoefu nayo nipeni ushauri nini vya kuzingatia
  2. msomi duni

    Tanzania nchi bora kwa kila jambo

    Kwanza jifunze kuandika vizuri alafu tafuta point za ushawishi na jambo lako
  3. msomi duni

    Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

    Mimi kwa experience yangu nliushobokea mji wa Katoro kwa story kama hizi za mji wenye fursa nikahama zangu dar, lengo lilikuwa ni kufanya biashara ya nafaka ila muda nilipofika ilikuwa nimepishana na msimu Yani alifika July na mavuno ni April sasa nikapata wazo la kufungua grocery maana huko...
  4. msomi duni

    Namna rahisi ya kupata wanunuzi wa bidhaa Instagram

    N.b kununua matangazo isiwe moja ya ushauri maana Io naijua naona inacoast sana
  5. msomi duni

    Namna rahisi ya kupata wanunuzi wa bidhaa Instagram

    Mimi nimekuwa nikifanya biashara ya kuuza kuku muda mrefu ila localy Yani masokoni kwa kununua kwa jumla na kuuza rejareja, katika kutaka kutanua wigo wa soko langu yani kupata wateja wapya nikaona acha nianze kujitangaza kupitia instagram ila huko nako kwa muda niliokaa nimejifunza / nimegundua...
  6. msomi duni

    Tambua kuna watu basi tu wana bahati nzuri na wengine wana bahati mbaya

    Hii waambie wahitimu wenye first class wanaotubu mtaani while akina bashite wanapita na fursa zao
  7. msomi duni

    Ukimaliza chuo ukakaa mtaani miaka mitano bila ajira, mifumo ya ajira serikalini inakutema

    Kwani elimu inakufundisha kujiajiri au kuajiriwa mzee... Usome education, archeology au economy af ujiajiri au sio darasa la nne B
  8. msomi duni

    Unajua athari na jinsi ya kujiepusha na matumizi ya Bangi?

    Aisee mimi ninaunga mkono ila wengi kuacha lazima uwe na alternative labda mazoezi au kubadilisha circle na maeneo unayohang au kutembelea
  9. msomi duni

    Personal hygiene: Strictly for men

    May be I'm old fashioned or too old for this kind of hygiene but real men don't trim their pubes... I mean what are you trimming your pubes for, That's Gay shit bruv
  10. msomi duni

    Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

    Oyaaah nimepiga kura mara tatu na mara zote nimechagua wapinzani ila wameshinda CCM hawa wapuuzi kuwatoa sio rahisi kihivyo ndio maana nawakubali sana Jatu na mr kuku
  11. msomi duni

    Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

    Kumbe hakuna basi sawa...
  12. msomi duni

    Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

    WaTz msiwe serious sana maisha ndio haya haya si tunakula bia APA hii thread imenipa connection nimefatwa pm imeñipa bia na michongo nimepata... Nyie mnaosema bado sijasema mara hii thread ya kipumbavu kaa humo 💩
  13. msomi duni

    Ringtone ya simu yako ni wimbo wa msanii gani?

    Aisee mi nishasahu ringtone ya music tangu nianze kutumia iphone ringtone yangu ni ile ile na kiswaswadu changu ni vibration tu
Back
Top Bottom