Nini kifanyike ili kuondokana na tatizo hilo je kuna uwezekano wa kuyatoa mapepo hayo?naomba msaada wako tafadhali ikibidi nipe Namba yako kabisa
Acha sisi tunaosumbuliwa wajuzi watusaidie
Mtu mzito kwenye nyumba ya ndugu yangu huwa kuna tokea mikwaruzo juu ya paa mithili ya matawi ya miti yanapogusa bati halafu baada ya siku mbili kimya tena baada ya siku kadhaa kunatokea mlio juu Ya bati kama mtu karusha jiwe then inatokea kama kitu kinagonga mbao hivi ni vitu gani hivyo mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.