Leo taarifa ya madaktari wa vichaa 'Pyschatrist' kutoka Hospitali ya Taifa Milembe wamesema kuwa; kila watu nane, mmoja ni Kichaa ambaye bado hajalipuka!
Ni muda umefika wizara ya elimu ianzishe Somo la Saikolojia kuanzia shule za msingi. Hapo mambo ya ushauri nasaha na unasihi yatafundishwa kwa undani na watu wengi watapata elimu ya kujitambua uwezo na udhaifu wao na hivyo kuweza kujichukua wenyewe (self) bila kutoa madhara kwao na kwa wengine.
Soma Mwanzo 1:1-35, kazi ya uumbaji wote ilishakamilishwa na Mola. Msimpe ushindi anayeiga matendo mazuri ya Mwenyezi Mungu kwa kuyafanyia ubaya ili yawe ni chukizo!
Duh, pole Sana mpwayungu, endelea kumbembeleza huyo jirani yako teacher atakukatia kamshiko kidogo ili na wewe upate nafasi ya kuumwagilia Moyo. Maana waswahili wanasema aisifiaye mvua Basi imemnyea. Wewe umekosa hiyo ajira kwa upumbavu na ujinga wako ndio maana unawahi benki kuwapiga picha...
Maandiko yanasema ' Ole wake yule amtukanaye aliyempa elimu na Sasa yu mjuzi kupitia maarifa aliyoyapata kwayo'. Ana laana maturubai [emoji1787][emoji28]
Kwahiyo mnunuzi anakuja kulima, Sasa huyu mkulima mdogo mzawa asiye na fedha ya mtaji wa kuendeshea kilimo ili anunue pembejeo na vifaa kazi atafanyakazi gani ?
Hakuna haja ya kulalamika Ila inabidi nao walindwe kwa kuwezeshwa mitaji kwakuwa wao ndio wenye ardhi na ndio wakulima wa asili wa zao...
Leo mchana nilikuwa Njombe town, kwakweli hali ya baridi sio utani, mchana wa saa sita baridi ni kwamba inaunguza ngozi utadhani umelala usiku juu ya bati
Pole, endelea kujituma kwa kujiajili utatoboa tu. Ajira rami inataka watu watakaofanyakazi kwa muda mrefu il kupata tija ya uzoefu wao kiutumishi. Ndio maana hata mwajiliwa mgonjwa wa muda aondolewi kirahisi kazini mpaka ikathibitishwa na Jopo la madaktari wabobevu kuwa hawezi kabisa kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.