Recent content by Msiri

  1. M

    KERO Malalamiko kuhusu utaratibu unaoendelea katika vituo vya SGR ambapo abiria hulazimishwa kufunga mizigo yao kwa plastiki (plastic wrap)

    Huna akili wewe. Mwenzako anazungumzia plastics (ambazo kwanza zilishapigwa marufuku na serikali) were unaleta mambo ya kuku, vipeto.
  2. M

    Consultant anatakiwa

    Anatafutwa Consultant ambaye atasimamia mchakato wa ajira ya Mkurugenzi. Tangazo hili linarudiwa baada ya kusitisha mchakato wa kwanza. Download document kwa maelezo zaidi.
  3. M

    Vacancy for the position of Managing Director of a well established NGO

    For additional information, please, download the attachment.
  4. M

    Vacancy: Chief of Finance and Administration

    For further information, please download the attachment
  5. M

    Consultant anatakiwa..

    Anatafutwa Consultant ambaye atasimamia mchakato wa ajira ya Mkurugenzi. Download document kwa maelezo zaidi.
  6. M

    Nataka nikapime DNA na mtoto asie wangu akiwa na mama yake kupima ukweli wa majibu ya Mkemia Mkuu

    Ukipima na wakisema wewe na huyo lawyer wako sio wazazi wa huyo mtoto, itabidi mueleze mmemtoa wapi huyo mtoto.
  7. M

    Plot4Sale House4Sale Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta

    Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo; 1. Nyumba in vyumba vitano Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo mita 100 toka barabara ya Bagamoyo. 2. Kiwanja ni 4303 sq meter 3. Ina hati miliki. 4. Bei 900m...
  8. M

    Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

    Kama ni historia ya vizazi wafilisti walitoka wapi? Kuoana wao kwa wao haikuwa tatizo wakati ule.
  9. M

    Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

    Kwa hiyo kwa kuwa biblia hai mention watoto wengine wa Adam hivyo unaamìni kuwa alikuwa na watoto wawili tu? Surely alikuwa na watoto wengi tu na walioana wao kwa wao.
Back
Top Bottom