Uelewa wako kabla ya teknolojia na LEO hii ni muda gani umekuwa zaid?sasa hivi kusoma Dini ni rahisi kuliko zaman lakin pia mashekhe wazaman walikuwa waadilifu sana LEO hii utaambiwa rais ameshapewa mwaliko wa baraza LA idi bila kuzingatia mwezi utaandama lini.sasa rais hawez kubadili ratiba...
BAKWATA C CHOMBO HURU SAUDIA NDO KILA KITU SAWA NA VATICAN KWA WAKATOLIK TENDE MKILETEWA MNAKULA,HIJA MNAKWENDA HUKO,MASOMO YA DINI HUKO,MISAADA YAO MNAPOKEA kwenye mwezi ndo mnakuja misimamo ya ajabu chombo huru redio na TV iman ishatangaza fungulia uckilize takbira naomba unialike kwako hapo...
Tuwe wakweli hivi wewe ukiwa rais na muda wako wa uongozi unaenda ukingoni hutakuwa na ushawishi kwamba nan unaamin atarithi mikoba yako na kuendeleza Yale unayoyaoona mazur.fahamu Nyerere alipendelea Mwinyi awe raid sababu tu aliwajibika pindi akiwa WAZIR wa mambo ya ndani,Mkapa alimpgia kampen...
Inawezekana hao wrote ni waharifu walishazinguana how it comes from no where u kill 2 pipo on the spot acha sheria ifanye kaz take he ukiambiwa waliouawa n majambaz sugu.so halalishi kuua ila tusijipe vitengo vya usalama wakati hatuna fani hiyo tusiongozwe na emotions let facts speak themselves.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.