Wakati bunge la mabadiliko ya katiba linaanza UKAWA walionekana siyo lolote ndani ya BMK. Mijadala ilivyoendelea kupamba moto na tofauti za misimamo kujitokeza dhahiri baadhi ya wajumbe waliamua kuondoka bungeni na kuacha mchakato wa katiba mpya mikononi mwa wajumbe walioamua kubaki bungeni...
Tatizo kubwa mwakani 2015 ni mwaka wa uchaguzi, CCM wameanza harakati za kuendelea kubaki majimboni kwao hiyo ni sababu kubwa ya wapinga s3 kuongezeka wakifikiria kupoteza ubunge badala ya kutazama hatma ya watanzania hasa WATANGANYIKA. Jana nimesikiliza mchango wa makamu wa II wa Rais wa ZNZ...
Zanzibar ni nchi athubutu kuingilia mambo ya Zanzibar aone yatakayo mtokea, ni vyema kutambua kuwa Zanzibar ni chi ina Rais wake na mamlaka yake Kikwete hana mamlaka ya kuisemea Zanzibar
TBC unaimiliki wewe na mimi kupitia kodi tunazolipa. Tabia na uhuni wanaoufanya kusema kweli unasikitisha sana, mengi yamesemwa kuhusu TBC lakini imekuwa ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Jamii ya watanzania inatakiwa itafute uamuzi wa kuidhibit TBC kwa kuweka mkakati maalumu ikiwa ni pamoja na...
Kwa wingi wao ndani ya Bunge kama wameshalitolea maamuzi limeshapita kwa mabavu lakini siku zote wingi wa mchanga hauwezi zuia mchwa m1 kupenya ardhini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.