JATELO1
Mkuu tatizo lenu hamtaki kuamini kuwa siasa na sanaa pia,mnapigwa hivo kwa kuishia kulalamika halafu baadae mnakuja kulaum na baadae pia kuzikana lawama zenu,kuna watu huku hatujaamua tunawatizama tu so ni muhim kwa kupambana kwa hoja na si kelele mkuu.HAKUNA HAJA YA KUSEMA DR SI...
asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri,kuna comment kafananishwa et na kubenea,vp kuna uwiano kweli au ni kumpunguzia credt,kweli yeye amewahi kukana maandish yake kama hawa wa sasa?
wale wa mecca hawaf kisa hewa wale hukanuyagana kwa sababu ya udogo wa eneo na wengi hupenda kufika kwenye maeneo asilia hvyo kuongeza msongamano,pia baada ya kutupa vijiwe huondoka haraka hivyo kutoa mwanya wa kukanyagan
Huu ni utamaduni wenu wanasiasa hata kabla hajaamia UKAWA ukawa walimuita fisad papa leo ni shujaa,amin usiamin mtaji mkubwa wa wanasiasa tz ni ujinga na uvivu wa kufikir wa watz,leo ccm kumtuhum lowasa ni upuuz pia kwani wao ndo wamemtengeneza kufikia hapo alipo. Tunahtaji self determination...
Wakuu ni iman yangu tupo salama katika pilikapilika zetu,kama title ilivyo mimi ni muathirika wa mfumo mbovu wa ccm kias cha kuikosa hata elimu ya chuo kikuu,kwa kunyimwa mkopo bila sababu za msingi,nahtaji kuwasiliana na hawa watu niwakabidhi hata nyaraka(vyeti) kulithibitisha hili naamin tupo...
Mkuu unachosema ni sahih lakini amin muda huu nchi inahtaj watu neutral kidogo ili kusaidia uhuru wa kimjadala na kuona hasa ni upi unastahili kuwa mwelekeo wa taifa,jaribu kufikir namna slaa na gwajima wanavyoteka mijadala ya nchi katika kipind hk muhim kwa mustakabali wa nchi.Je mijadala yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.