Mimi Mwidadi M. Msangi...nimechaguliwa mmojawapo wa washindi wa shindano la kusanifu nembo ya mahakama ya rufaa Tanzania.
Kupata logo(nembo) au ramani za nyumba tuwasiliane kupitia no 0752450273 or 0716530994
ha ha ha nikisiaga matamko ya jpm nafurahi sana na ninashangaa pia....
yaan jpm anasema analipwa mil9.5 kweli??? yaan anataka kutuambia kuwa mbunge anamzid rais kwa mshahara maana mbunge analipwa mil11.5.....kweli tz ni nchi ya kipekee.....hongera jpm wa vijiwen watazid kukushangilia na kukuita...
tuache ushabiki usio na tija,mnaoshabikia kuwa kuna watu wanalipwa mil40 kwan hamjui kuwa ktk utumishi kuna kupanda madaraja? labda jpm aprove kuwa wanalipwa kinyume na utaratibu.unategemea kama uliajiriwa na mshaara wa lak3 ustaafu na mshaara wa lak3 wakat unakuwa umesoma course za kuongeza...
jmn watanzania tujifunze kuhoji...JPM aseme kwanza mshahara wake ni shingapi na atashusha shingapi! mbona mwal nyerere alishawa kushusha mshahara wake! kama asipofanya hivo utakuwa ni mwendelezo wa udikteta na historia itamuhukum kama mcc ilivyoanza....sikatai watu kupunguziwa mishahara lkn rais...
kama muhongo anakosea watarekebishana huko mbele,,,,walishaambiwa wachukue maamuzi hta kama n mabaya watarekebishana huko mbele ya safari....#tusiwe wepesi kusahau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.