Recent content by mshinyanga

  1. M

    Ni chama gani kitashinda uchaguzi wa s/m mtaani kwenu?

    hivi wakati wa uandikishaji wawakilishi wa vyama walikuwepo?
  2. M

    Habari njema kwa wakazi wa Iringa, Jipatie mafuta ya Queen Elizabeth

    mimi nauza jumla 20,000 orignal. Mikoani natuma zisipungue piece 10. Karibu sana
  3. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    mkuu niliatach na yang u. Nipo kundini.
  4. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    mafioso ntajitahidi kukutumia namba nilizo nazo pamoja yangu. Kwa pm. Nipe muda mpaka kesho. Usihofu Kikubwa tukutane sehemu pamoja kwa lengo moja. Wadau wote namba zenu zitafanyiwa kazi.
  5. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    endeleza tu mkuu mafioso, hakuna mbaya.
  6. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    sasa group zinakua ngp? Maana nimepokea namba nyingi. Na papara sio nzuri. Group inaanza leo jioni kama kuna group tayari tujulishanë.
  7. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Safi mahesabu kwa utayari wako, mpaka sasa akidi bado haijakamilika . Vp kama group ianze hivyo hivyo tukawa na mijadala ya awali....?? Red g tunaomba baraka zako.. So lianze????????????
  8. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Wazo lako zuri, lkn mhh kwamba tunakuwa na salamu maalum..
  9. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Mkuu red g naendelea kupata pm za namba za wadau.. soon group litakuwa online.. Woote mliotuma namba fanyeni subira kidogo angalau akidi itimie mijadala na michango moto moto ianze. Nafasi bado zipo nyingi mnakaribishwa
  10. M

    UKAWA waumbuka Dodoma, Akidi yapatikana bila ya wabunge walio nje ya Ukumbi

    168 - 142 sawa 26 168 - 139 sawa 29 29- 9 sawa 20 20 + 1 sawa 21 Kwa hesabu hii ukawa wanahitaji hizo 21 toka kwenye kura ya siri.
  11. M

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Ok good idea sasa kwa aliye tayari anipm namba yake nikuweke ktk group la whatsapp, wacha tuanzishe hiyo group kisha tutafanya na utaratibu wa kumuwezesha ndg red g mtoa wazo kupata japo tecno.
  12. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Aisee nimefanya nilijua ntapata package ya azam free lkn nimepata chanel kama mbili tu ya dini na rstg ziko mbili
  13. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Jamani wajuvi naomba kujua haya maelezo bado yanafanya jazi kesho asbh nifanye kazi hiii...
  14. M

    Lowassa ampa Apson kiasi kikubwa cha fedha Kutekeleza maazimio ya kikao cha akina Mbatia

    Mkuuu aslimia 65 ya wabunge wa ccm wametumia pesa kununua ubunge asilimia 20 wameiba kwa ushawishi wa pesa na nguvu ya dola. % Iliyobaki kweli wameshinda kihalali. Bado sijajua huo msimamo wako wa kumchukia el.
Back
Top Bottom