Recent content by mshikachuma

  1. mshikachuma

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Doctor Mkuyati, naomba kuuliza. Hiyo HIV stage 4 ndiyo ikoje? Natanguliza shukrani zangu za dhati.
  2. mshikachuma

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Siyo kweli...hayupo kibiashara. Anachofanya yeye ni kutaka watu wajue upande au wasikilize upande wa pili wa shilingi. Maana kwa miaka mia moja tumekuwa tunajuwa upande mmoja tu wa hili swala la HIV. Alafu kuna kitu nashindwa kukuelewa' kajidunnga sindano ya ukimwi au HIV? Sasa kama unashindwa...
  3. mshikachuma

    Tarehe 24 Oktoba, CCM na Sumaye jino kwa jino

    Umemaliza...yaani hamna kingine zaidi ya hicho. CCM tumeichoka. Full stop
  4. mshikachuma

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Samahani Doctor,nimekuja na swali lingine...inasemekana somtime baadhi ya watumiaji wa ARV (wenye tatizo la HIV) ikatokea ameenda kupima tena anaweza kakutwa kuwa yupo negative. Je hii ni kweli au ni uongo? Kama ni kweli ni kitu gani kinachosababisha huyu mtu aonekane negative wakati alikuwa...
  5. mshikachuma

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Samahani Doctor...sisi wengine tuna ndugu zetu ambao wana tatizo hili la HIV na wako kwenye dozi. Je unashauri watumie dawa gani ambazo ni mzuri ili wasipate hayo matatizo ya ini na figo?(kama kweli yapo) Maana ukimsoma Deception anasema hizo ARV ndizo zinazosababisha matatizo ya ini na figo au...
  6. mshikachuma

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Naheshimu ulichokiandika...ila sidhani kama huyu Deception yuko kibiashara' ukimsoma between the line utagundua kama huyu jamaa anamuonekano wa kujitolea tu kwa watu wenye matatizo haya ya HIV
  7. mshikachuma

    Dada yetu anaishi na Virusi vya UKIMWI, tumwambie ukweli mchumba wake?

    Kama habari hii ni ya kweli basi hata mimi napendekeza huyo mwanaume aambiwe ukweli na ikibidi wakacheck afya zao pamoja. Lakini pamoja na hayo yote niseme tu Watanzania tulio wengi hatuna ufahamu wa tatizo hili la HIV...kuna watu hawajui tofauti ya ukimwi na HIV. Niseme tu kuwa namshukuru sana...
  8. mshikachuma

    Maneno Machache Ujumbe Mzito: Kukataliwa Treni la Lowassa Kwaja, Abiria Wajiandae

    Ahsante Mkuu...hebu angalia Kiongozi wa chama fulani yuko hapa anaipigania CCM. Kweli kile chama ni tawi la CCM
  9. mshikachuma

    Maneno Machache Ujumbe Mzito: Kukataliwa Treni la Lowassa Kwaja, Abiria Wajiandae

    Tufanye sawa' tunakubaliana na haya maneno yako. Sasa ikiwa kama wewe ndiye 'Kiongozi Mkuu' je unatushari tumchague mgombea gani wa urais? Tumchague yule mgombea wako mama wa ACT au tumchague Magufuli wa CCM? Maana Lowassa si hafai? Ahsante Kiongozi Mkuu...nasubiria jibu kwa faida ya...
  10. mshikachuma

    Maneno Machache Ujumbe Mzito: Kukataliwa Treni la Lowassa Kwaja, Abiria Wajiandae

    Ha ha haaa naona Kiongozi Mkuu wa ACT kakugongea like. Ila kama unaakili za kusoma alama za nyakati hebu tizama comment za watu wote kwenye thread yako hii ni wangapi wamekuunga mkono na wangapi wamekupinga. Hakika heshima yako hapa jamvini inayeyuka kama theruji. Alafu ulivyokosa maono...
  11. mshikachuma

    Kumbe mabadiliko wanayonadi UKAWA ni...

    Ha ha haaaa...ongeza na hii mkuu Kikwete na Lowassa maadui Zitto na CCM marafiki Sumaye na Mkapa maadui Mwandosya na Nape maadui Ester Bulaya na Wasira ni zaidi ya uhadui James Lembeli na CCM maadui. Mwisho...The Boss wa JF amekuwa ndumila kuwili. Huku anang'ata na kupuliza na kule anan'gata na...
  12. mshikachuma

    Ufafanuzi kuhusu Ulutheri na Urais - Lowassa

    Namuona Kiongozi Mkuu wa ACT yuko kazini kwenye thread hii. Haya endelea sisi tunakusoma.
  13. mshikachuma

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Hawa ni zaidi ya wapuuzi...yaani wako radhi CCM iliyokaa madarakani kwa miaka 54 for nothing iendelee kututawala kuliko kuleta mabadiliko kupitia Ukawa na Lowassa. Binafsi kikiwekwa Kinyesi na Magufuli' kura yangu nitaipiga kwa hicho kinyesi cha binadamu. Nimeichoka CCM na mambo yake yote kupita...
  14. mshikachuma

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Kwanza muulize...je Libya kulikuwa na uchaguzi au kulikuwa na mapinduzi? Tanzania tuko kwenye uchaguzi na siyo mapinduzi ya kupigana kwa siraha za kivita. Kweli MaCCM hayaishi propaganda.
Back
Top Bottom