Recent content by mshfid

  1. M

    ushauri

    Wakubwa shikamoni,wadogo habari zenu, mimi ni kijana mweny umri wa miak 25, nipo chuo kikuu cha arusha, nilizaa na mtoto wa mchungaji huko dar nikiwa na jiandaa kujiunga chuo,na nilipokuja chuo nikampenda msichana mwingine toka moyon na mpaka sasa nipo nae na ni mjamzto na hali ya maisha ni ngum...
  2. M

    Dada zangu hebu wekeni magari yenu katika unadhifu....!

    sasa mnaona sifaaa uchafu mavitu kama hayo wekeni kwenye buti,ebu ona nilipanda karav4 kamdada kajirani gar Nje safii balaA ndani km choo linanuka ma arufu ya ovyoovyo macream uvundo haaa jaman nilijuta kupanda gari lake adi nafika niliugua kichwa balaaa mixer mafuA jilekebisheni bwana sura...
  3. M

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    nyamnyusi,ntintyee,kazuramimba,sunuka,nyumbigwa,kasangezi,mwembe togwaa yote ya kigoma
  4. M

    msaada; wenye uelewa waniisaidie

    ushaur mzur nenda wizara ya elimu.
  5. M

    Heslb kwa continous students imefikia wapi?

    miji2 mingn bwana km huna chakuchangia vunga.Ndezzz wee
  6. M

    Msaada! Msaada Tafadhali..

    weka detail,zake (Matokeo) pili interest yak ni nn?
  7. M

    wanahistoria msaada

    europe is the first place of ideals discuss.swal hili linataka nn wandug? msaada.
  8. M

    Heslb kwa continous students imefikia wapi?

    bado, mi ni continous niliomba loan board walileta majina baadhi ambay hayakuonesh kiasi cha fedha walisema ambae hajaona jina lak amfuate muwakilishi wa loan board chuon hapa uoa,ili atoe taarifa.Sema jina langu lipo tunasubil alloctn.
  9. M

    ushauri wa bure;kama unandoto hii usiende vyuo hivi

    zeZeta ww limbuken wa elimu....Nyok oo
  10. M

    hodihodi wanajamvi

    wakubwa shikamon, vijana habar zenu bhana, blessed all thanx.
Back
Top Bottom