Wana JF wasalaam. Jana nimefuatilia kwa ukaribu sana hotuba ya JK, sijaona chochote chenye kufikirika "rationale" alichosema huyu bwana zaidi ya kuvuta kamba kwa serikali mbili.
Mimi naweza kusema kwamba angeambiwa aongee kabla ya mzee wetu mwenye busara za Nyerere, warioba; asingepata hata...
Mie nafikiri hawa wanafiki wa ccm wakiipitisha rasimu ya serikali mbili, hawatakuwa tena na dhamana ya kuchaguliwa viongozi 2015.
Haiezekani wananchi tutoe maoni halafu yapuuzwe kiasi hiki tena na kiongozi mkubwa wa nchi.
Rais jana kaja akiwa na majibu, tena kadesa yale alosema warioba. Ni...
Wana Jf popote mlipo.
Tupo tumetia kambi kata ya tungi tunalinda kura.
Maccm wameleta kundi kubwa na DCM kwa lengo la kupiga kura tumewatimulia mbali.
Cha kushangaza wamekimbia kitu kinachodhihirisha kwamba ni wezi. Pia wana masanduku ya kura bandia kwenye magari wanavizia jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.