Kwanini utumie gharama kubwa kiasi hicho kuomba uongozi,kama una dhamira ya dhati kweli kulikua na ulazima gani kutumia pesa zote hizo angerudisha kwa mfumo upi? Watanzania tuna macho na akili za kupambanua mambo si wakati wa kudhihakiwa sasa,uongozi pia lazima kuwe na mshindi na washindwa si...
Mzee huyu anataka kutuchagulia kiongozi,mbona wengine waliokatwa hawasemi? Kwanini yeye ang'ang'anie kwa lowasa tu? Hawa wengine siyo watu? Mzee kingunge anajiharibia heshima yake na uzee wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.