Recent content by msema.kweli

  1. M

    Ukiwa muongo usiwe msahaulifu...

    Hili ni gazeti la serikali, linaandika uongo mchana kweupe ili iweje??? Magufuli bado hajaenda Chato sasa kaiteka lini?? Mbona mnajitaidi kuwa waongo kiasi hiki nyie waandishi?? Hivi hamuoni kwamba credibility yenu inashuka sana? Tafadhali mkitaka kuwa waongo msiwe wasaulifu.
  2. M

    Magufuli zi zaidi ya obama

    Basi sawa
  3. M

    Kutoka Morogoro: Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Picha kutokea juu, ikionesha umati wa vijana na wamama kwa wazee morogoro mjini wakimsikiliza Lowassa Picha kutokea usawa wa umati Kwa hisani ya Lowassa.
  4. M

    Kama umewapigia kura CCM 2010 huna haja ya kulalamika kwa yanayotokea Tanzania!

    Na ikitokea mkaichagua tena CCM mwaka huu nije nione ma mbulula yanalalamikia kuhusu hayo juu. Tena nina hamu sana na hawa wasanii, wako kama kondom wanatumiwa na kutupwa
  5. M

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Wewe wewe!!!!! Heeeee dada yangu shosti , embu wajaribu kumkamata Lowassa halafu waone. Nakwambia hii nchi haitakalika hata kwa nusu saa. Na lazima watajuta kwa kufanya huo upumbavu. Yani wameshindwa kumkamata miaka nane yote waje wamkamate leo??? Nakwambia kama wanataka kufa basi tutakufa wote
  6. M

    Yaliyojiri: Mazishi ya Mohamedi Mtoi, Lushoto - Tanga

    Shenzi sana wewe, yani unaleta ujinga kwenye msiba wa kamanda Mtoi? Narudia tena huna akili. Kichwa chako ni sawa na nazi. Sheeeenz type
  7. M

    Yaliyojiri: Mazishi ya Mohamedi Mtoi, Lushoto - Tanga

    Kweli wewe ni punguani wa akili. Huna akili kabisa. Pumbav.u
  8. M

    Hakiki kitambulisho chako cha kupigia kura hapa!

    Piga; *152*00# Basi Sawa!
  9. M

    Swali la Ukorofi: Vigogo wa CHADEMA Wanaomuuza Lowassa Wakianguka Bunge Iweje?

    Kinadharia hawatashindwa!!! Dua la kuku??? Basi Sawa!
  10. M

    Lowassa kuitikisa Dar - Septemba 07, 2015

    Kesho saa nne Lowassa the Great atakua jimbo la Kawe na Saa nane mchana atakua jimbo la kibamba. Mkutano wake wa Kibamba utarushwa live kwenye tv station zote ikiwemo ITV, AZAM.... Basi Sawa!
  11. M

    CCM wote tupite hapa tafadhari!!

    Eti kuna tetesi kwamba Lowassa ameongeza umaarufu kuliko magufuri baada ya hotuba ya Dr Slaa? Eti Magufuri ameanza kukata tamaa mpaka kufikia hatua ya kujitekenya na kucheka mwenyewe? Basi Sawa!!
Back
Top Bottom