Kuna kitu kingine mkuu chakula pale wana tu uzia sawa Na wa zungu wakati kwengine raiya wa nyumbani wana punguzo kubwa mno , huwezi nunua chakula sawa Na mgeni hiyo ipo kwetu tu ! Tena kwa [emoji385] usd!!
Ivi wandugu kutokana Na ma tatizo ya kukatika Umeme mala kwa Mala una Toka kwa mihangaiko yako umechoka mida km saa mbili ivi usiki una ingia geto ile una washa taa una muona nyoka katulia..... Una toka nje kwenda kuokota gongo uje ummalize wakati una ingia Na mlango uka funga asije aka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.