dah! mkuu pole sana kwa tz ye2, tofauti na kada ya afya na elimu zngne kupata ajra ya 1kwa1 n ngumu sana, hata ualim(elimu) kdogo wa sayanc ndo bado wanafikiriwa na bahat mbaya huna tena sayans,najua hujamalza we kaza buti ufaulu vzr zaid itakusaidia, lkn coz yenye xoko tz ni issue ya ktaifa
Uko sahihi mkuu, af anaesema ufaulu mdogo anakichaa cha uzazi mfano mimi nmesoma PCB na matokeo yang phy~D, Chem~B+, bios~B nko st joseph dar, na nmegundua wanaoropoka ndo wanaufaulu duni albahatisha so anataka aheshmike kwa maneno, tatzo nafas haztosh af wengne walichagua hvi vyuo bila kujua...
Jana nimepokea sms hii "st. joseph univ,Bagamoyo univ,RUCO, kampala univ (kiu), serikali kuptia naibu katbu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, Eng. Angelina E.mdete wmeaigza tcu kuvifuta vyuo hvyo katka orodha ya vyuo vikuu Tz, mpaka uchunguzi utakapokamilika" je ni kweli wadau
Nataka kujua hiki chuo kila mwaka wanafunzi hasa wa education hucheleweshewa hela yao na wanapogoma wanafukuzwa na serikali haisemi kitu.
Je, ni kweli kwamba kuna wakubwa wanahisa zao kwenye chuo hicho?
Ni wiki mbili sasa tangu waziri wa elimu afike pale chuoni lakini wanafunzi hawajarudisha...
wadau jf mi nataka kujua wanafunzi wa st. joseph arusha wamegoma tangu jana sababu walisikia bungeni mbunge akisema chuo kilisajiliwa kama cha diploma na sio degree, hii taarifa ni sahihi na kwa nini tcu wawapeleke kwenye chuo cha diploma na wawape mkopo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.