Ama ama ya vyama hilo ni soko ulia,,
Bank ximekorupt kina Mama wanalia,,
Heshima pesa kama huna demu utanporwa ata na mwenye kiba 100,,
Uchumi unakua ? streets tunadidimia,,
This is a fake news
Msoga walitutabilia,,
He is a bad fish,,
He doesn't care his familia,,
Wazee mnasemaje hatufai ...