Recent content by msalato

  1. M

    Ajali mbaya Kibamba - Dar

    Serikali inafanya nini na hili tatizo la ajali? au mpaka ndugu wa viongozi wafe kwenye ajali kama hizi ndio wataanza kushughulikia? Inasikitisha kuwa japokuwa barabara ndogo lakini sheria hazifatwi kabisa. Someone need to go to jail. Waziri wa mambo ya ndani anatakiwa ajiuzuru mpaka sasa hivi...
  2. M

    Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

    Vijana peke yao si solution. Kama wazee wanafanya kazi nzuri kwa wananchi basi ruhsa. Wananci wataamua, nani anafaa.
  3. M

    Waraka wasambazwa kuitafuna CCM 2010, kanisa Katoliki laukana

    kanisa linatakiwa kuendelea kuelimisha wananchi jinsi gani wataondokana na umasikini kwa kupata watu wasio na choyo. Viongozi wa mifano na siyo Chadema au C.C.M. au udini. Nini ni haki ya Mtanzania?
Back
Top Bottom