Bank ya CRDB wanasema walishatoa pesa milioni 250 za uendeshaji ikiwa na naama na mazaga zaga yote, YANGA wanafai milioni 200 ambazo TFF wanawema wanafai vp pesa ambayo ni zaidi ile ya uendeshaji, kwa sisi TFF ndio tunawadai YANGA wanatuchanya
Sasa Hivi SAJENTI anaomba kukutanishwa Na PATENI, Hata kama walikuwa na kutoelewana ila kwa namna moja ama nyingine Media zinachochea ugomvi wa hawa madogo.
Hawana experience ya kuhojiwa kila watakachoulizwa hata kma ni chonganishi wanajibu bila kufikiria swali lina maanisha nini.
Nimeshaweka jamvi langi mapemaa ngoja niwasanue, yani zile presha za kusubiri mpaka dakika 90 ziishe, ni noma.
Unyama huu hapa bet na SOKABET kuna option ya "EARLY PAYOUT" yani timu ikifikisha goli mbili tu mkeka wako unamalizika hapo hapo unachukua chako mapemaaa kabisa.
Ila Sokabet bhana...
Huenda katoa na hajajitangaza pia kma kuna wengine wametoa msaada kama Rostam Aziz inatosha atakae guswa nae atatoa,
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.