Kk utaniambia nimeuzulia midahalo hapa mshindo na kijiweni hata mwenyekiti wa wilaya mh kiponza anakiri ccm bado wanakazi ila tusibishane sana cos October bado 2 months
Wewe upo wapi nipo iringa hapa ccm imedorora kbs na mtu waliyekuwa wanamtegemea mama jesca kawa wa tatu magamba wenyewe wanasema bado mchungaji msigwa ni shida jipange na hoja zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.