Hapa suala sio ndoa ya kanisani,hapa wewe mwenyewe ulikosa muda wa kumjua mkeo mapema anazo tabia zipo, pili ulitakiwa uweze kumfundisha mapema kuwa maisha ya ndoa huwa tunaishi hivi na sio kukaa kimya,mpaka pale mmeingia ndani ya ndoa,nakushauri usikae kimya mwambie majukumu yake ni yapi (basic...
Habari ya leo,sio kumuombea tuu yeye binafsi anatakiwa aombe pia maana unapomueleza Mungu Hitaji lako yakupasa wewe binafsi kuomba pia maana ni yeye na Mungu
Paulo alikua mtume na nabii wa Mungu katika kipindi cha kanisa la laodekia,Paulo hawezi jisemea yake lah!upo pia ushauri wake pale chini ukimaliza verse 5 utaona ushauri wake
Hofu lasima iwepo maana hofu sio uwoga not at all hofu ni pale unapoona ukifanya jambo fulani ambalo sio sawa ndio panakua na masuala mengi maana tayari hofu ipo ili usimkosee Mungu
Rafiki,upo utaratibu wa kuchumbia mke sio kutiana Mimba!!angalia isaka alipotaka kuoa,hapo utaona utaratibu,kutiana mimba huo ni uzinzi na hata mkienda kanisani mchungaji au kasi si yeyote hawezi kukufungia ndoa maana ulishaoa tayari.
Ili ujue ndoa ipo wapi -:
1.Ni pale unapotongozana na...
Mume wa mwanamke mwingine akikupenda na wewe ukawa nae huo ni uasherati tayari na hakuna maisha ya mume na mke hapo,huyo ni mume wa mtu mwingine na hata maandiko yanasema katika 1wakorontho7:1-5 soma hiyo itakusaidia
Kuna ushauri unaweza utoa hapa upenuni,na ushauri mwingine sio wa kuweka wazi na ukweli uliopo private ni nzuri pia itakua so strong kwake kuweka uamuzi mkamilifu
Wewe Dada kama ni mkweli na ni mnyoofu,wa moyo utapata Mume mwenye hofu ya Mungu ya kweli,lkn kama utaguswa na huyu na yule it will be tidious to have the real one for the life na ukimpata mtakaa muda mfupi sana kwenye ndoa na mtaanza mitafaruku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.