Hivi inawezekana mume wa mtu kumpenda mwanamke wa nje kwa dhati kabisa?

Ni msimamo na mtazamo mzuri mumu, lakini kuna mazingira na mazingira, na mpaka yatakapokutokea ukajikuta una date na mwanaume aliye katika ndoa ndio utaelewa.

Wahenga walisema sio busara kusema hili au lile maishani halitanitokea, bali omba Mungu Akuepushie na usiyoyataka ili uishi ndoto zako

Yani napenda watu wanaojibu kwa ufasaha kama ww, wana jamii forum wote wangekua iv tungefundishana mengi, Big up
 
Kwa mtazamo wangu majibu yake yanaweza kuwa Ndiyo na Hapana; Nitaelezea kwa ufupi

1. Ndiyo; kama mwanamme alimpata mke wake kimagumashi (bila kutarajia) mfano kwa kumpa msichana mimba na kulazimishwa kumuo; au katika mazingira mengine yoyote yasiyo kuwa rasmi. Pia kama mwanamke kabadilika sana (baada tu ya kuoana) kutoka ile tabia yake ya mwanzo aliyo kutwa nayo na kufanya mwanamme aone kuwa alinunua Chungwa ila kapata Limau...ikitokea akipata chungwa (nje na ndani; anaweza kuchukua (Kuoa) nk

2. Hapana; hapa ni kwa wanandoa walio pitia hatua rasmi za Uchumba na kuamua kuishi kwa pamoja kwa sababu ya upendo. Hawa huwa ni vigumu sana kwa mtu wa nje kupewa nafasi na hata kama itatokea Nyumba ndogo hiyo huwa ni ya kupas time tu ila hawezi kumuoa

Je ikitokea namba mbili kapewa nafas na akaolewa itakua ni nn iyo
 
Mume wa mwanamke mwingine akikupenda na wewe ukawa nae huo ni uasherati tayari na hakuna maisha ya mume na mke hapo,huyo ni mume wa mtu mwingine na hata maandiko yanasema katika 1wakorontho7:1-5 soma hiyo itakusaidia
 
Kwa mtazamo wangu majibu yake yanaweza kuwa Ndiyo na Hapana; Nitaelezea kwa ufupi

1. Ndiyo; kama mwanamme alimpata mke wake kimagumashi (bila kutarajia) mfano kwa kumpa msichana mimba na kulazimishwa kumuo; au katika mazingira mengine yoyote yasiyo kuwa rasmi. Pia kama mwanamke kabadilika sana (baada tu ya kuoana) kutoka ile tabia yake ya mwanzo aliyo kutwa nayo na kufanya mwanamme aone kuwa alinunua Chungwa ila kapata Limau...ikitokea akipata chungwa (nje na ndani; anaweza kuchukua (Kuoa) nk

2. Hapana; hapa ni kwa wanandoa walio pitia hatua rasmi za Uchumba na kuamua kuishi kwa pamoja kwa sababu ya upendo. Hawa huwa ni vigumu sana kwa mtu wa nje kupewa nafasi na hata kama itatokea Nyumba ndogo hiyo huwa ni ya kupas time tu ila hawezi kumuoa
Rafiki,upo utaratibu wa kuchumbia mke sio kutiana Mimba!!angalia isaka alipotaka kuoa,hapo utaona utaratibu,kutiana mimba huo ni uzinzi na hata mkienda kanisani mchungaji au kasi si yeyote hawezi kukufungia ndoa maana ulishaoa tayari.
Ili ujue ndoa ipo wapi -:
1.Ni pale unapotongozana na mwanamke na mkaweka nadhiri kuwa maana, hapo ndio ndoa hufungwa na Mungu,mkienda kanisani it is a token only that people has to recognise that you are married
 
Only God can judge, Mungu ni Pendo naamin anaelewa zaid swala hilo kuliko binadam..either way ni vzur kuomba yasikukute love
Watu mbona tumejawa na mioyo ya hofu hivi???...kila mtu anasema omba yasikukute,..ndio tunavyoomba kila siku na si kila jambo duniani hapa likimpata mtu mwingine basi ni lazima na ww jambo kama hilo likukute,..kuna vitu vingine ni nikujiendekeza na kuwa na hofu navyo na hofu ni dhambi vilevile,..Mungu ni mwaminifu mnooo na si mwanadamu yeye hata aseme uongo,.


Eeh,Mwenyezi Mungu Unisaidie.
 
Mume wa mwanamke mwingine akikupenda na wewe ukawa nae huo ni uasherati tayari na hakuna maisha ya mume na mke hapo,huyo ni mume wa mtu mwingine na hata maandiko yanasema katika 1wakorontho7:1-5 soma hiyo itakusaidia

Huu ni mtazamo wa mtume Paulo, ulikuwa waraka kwa Wakorintho mkuu, usisome kipande kimoja ukakitolea maamuz
 
Watu mbona tumejawa na mioyo ya hofu hivi???...kila mtu anasema omba yasikukute,..ndio tunavyoomba kila siku na si kila jambo duniani hapa likimpata mtu mwingine basi ni lazima na ww jambo kama hilo likukute,..kuna vitu vingine ni nikujiendekeza na kuwa na hofu navyo na hofu ni dhambi vilevile,..Mungu ni mwaminifu mnooo na si mwanadamu yeye hata aseme uongo,.


Eeh,Mwenyezi Mungu Unisaidie.
Hofu lasima iwepo maana hofu sio uwoga not at all hofu ni pale unapoona ukifanya jambo fulani ambalo sio sawa ndio panakua na masuala mengi maana tayari hofu ipo ili usimkosee Mungu
 
Huu ni mtazamo wa mtume Paulo, ulikuwa waraka kwa Wakorintho mkuu, usisome kipande kimoja ukakitolea maamuz
Paulo hakua na mtazamo wake binafsi ndio maana Neno la Mungu sharti lije kupitia MANABII ndipo wewe ulipate
 
Paulo alikua mtume na nabii wa Mungu katika kipindi cha kanisa la laodekia,Paulo hawezi jisemea yake lah!upo pia ushauri wake pale chini ukimaliza verse 5 utaona ushauri wake
 
Paulo hakua na mtazamo wake binafsi ndio maana Neno la Mungu sharti lije kupitia MANABII ndipo wewe ulipate

Huu ulikua mtazamo binafsi angalia mbona mfalme suleman alikua na wake 300 na mahawara 700? na bado Mungu alipendezwa nae, na pia alikua na hela kupitiliza...Kweny bible kuna seem nying tu Mungu alitoa kaul zake yy mwenyewe au kwa kupitia ma nabii ila aliwaambia yy mwenyewe,
 
Nimekuelewa sana, yani umenipa jibu ambalo limeweza kunifungua...sasa anaweza kupenda wake zake wote au
Atawapendaje wote wawili wakati hapo kuna mmoja alimtamani tu na kuna mwingine ndiye yupo ndani ya moyo wake hasa? Haiwezekani hata siku moja kuwapenda wanawake wawili kwa wakati mmoja.

Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini sisi Wakristo, MESSIAH alitufundisha kwamba haiwezekani mtu akawa na mabwana wawili, maana atampenda huyu na kumchukia huyu, au atampenda huyu na kumdharau huyu. Mfano mzuri ni Yakobo, huyu alioa wanawake wawili, lakini moyo wake ulikuwa unampenda mmoja kuliko yule mwingine. Mfalme Daudi alikuwa na wake wengi tu, lakini alimpenda zaidi Beth-Sheba, mama yake Suleiman kuliko wake zake wengine.

Hata MUNGU alipomuumba Adamu na Hawa, aliwaumba wawili tu na siyo watatu. Hivyo haiwezekani kupenda zaidi ya mwanamke mmoja, lakini inawezekana sana kutamani hata wanawake elfu moja! Kupenda na kutamani ni vitu viwili tofauti sana. Mwanaume anaweza akatamani hata wanawake elfu moja na akipata nafasi au uwezo anaweza akafanya nao zinaa wote, lakini hiyo haina maana anawapenda wote hao. Katika hao elfu, lazima atakuwepo mmoja tu ambaye ndiye yupo ndani ya moyo wake hasa.

Iko hivi kuna wanaume wanawapenda sana wake zao, lakini kwa sababu ya tamaa za mwili, wanatoka nje ya ndoa zao na kufanya zinaa. Pia kuna wanaume wameoa kimakosa tu, hawawapendi wake zao kabisa, hawa nao hutoka nje ya ndoa na kutafuta upendo kwa mwanamke mwingine.

Kwa kifupi mambo ya mume na mke, mambo ya ndoa ni magumu sana. Yapo very complicated. Hata Mitume wa YESU walisema; haya mambo ya mume na mke ni magumu sana.
 
Atawapendaje wote wawili wakati hapo kuna mmoja alimtamani tu na kuna mwingine ndiye yupo ndani ya moyo wake hasa? Haiwezekani hata siku moja kuwapenda wanawake wawili kwa wakati mmoja.

Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini sisi Wakristo, MESSIAH alitufundisha kwamba haiwezekani mtu akawa na mabwana wawili, maana atampenda huyu na kumchukia huyu, au atampenda huyu na kumdharau huyu. Mfano mzuri ni Yakobo, huyu alioa wanawake wawili, lakini moyo wake ulikuwa unampenda mmoja kuliko yule mwingine. Mfalme Daudi alikuwa na wake wengi tu, lakini alimpenda zaidi Beth-Sheba, mama yake Suleiman kuliko wake zake wengine.

Hata MUNGU alipomuumba Adamu na Hawa, aliwaumba wawili tu na siyo watatu. Hivyo haiwezekani kupenda zaidi ya mwanamke mmoja, lakini inawezekana sana kutamani hata wanawake elfu moja! Kupenda na kutamani ni vitu viwili tofauti sana. Mwanaume anaweza akatamani hata wanawake elfu moja na akipata nafasi au uwezo anaweza akafanya nao zinaa wote, lakini hiyo haina maana anawapenda wote hao. Katika hao elfu, lazima atakuwepo mmoja tu ambaye ndiye yupo ndani ya moyo wake hasa.

Iko hivi kuna wanaume wanawapenda sana wake zao, lakini kwa sababu ya tamaa za mwili, wanatoka nje ya ndoa zao na kufanya zinaa. Pia kuna wanaume wameoa kimakosa tu, hawawapendi wake zao kabisa, hawa nao hutoka nje ya ndoa na kutafuta upendo kwa mwanamke mwingine.

Kwa kifupi mambo ya mume na mke, mambo ya ndoa ni magumu sana. Yapo very complicated. Hata Mitume wa YESU walisema; haya mambo ya mume na mke ni magumu sana.

hahaha thanks Dear, statement ya mwisho imebifurahisha..hakika mambo ni magumu
 
Back
Top Bottom