CCM wanafurahi kwa Mbowe kupisha uenyekiti. Ila watajua hawajui kwani totafuti ya Mbowe na Lissu ni kwamba Mbowe ni mstaarabu hataki vurugu na msikivu, Lissu ana misimamo ambayo haivumili chadema hii ya wanyonge haitakuwa hivyo tena under Lissu. Hivyo ni disadvantage kwa CCM. Mark my word.
Usifaninishe Kenya na Tanzania, kwa mujibu wa katiba ya kenya polisi haruhusiwi kumpiga muuandamaji. Pili technically Chadema wameshindwa kujua mtego wa kisheria uliowekwa na serikali eti ukitaka kuandamana lazima utoe taarifa. Maandano hayatangazwi, wamasai wa ngorongoro walimtangazia nani?
Nakubaliana na wewe kuhusu maandamano, yasifanyike kama ya chama bali ya wananchi. Pia yasitangazwe kuwapa muda polisi kujipanga na yaanza pembezoni mwa nchi mfano yananza Mbeya wakati yakiendelea huko ghafla yanaungwa mkono na Arusha, hivyo Mara, Mwanza kinamna hiyo
Vyazo ni vingi sana tatizo wengi huzani Spiritual knowledge inachanzo kimoja tuu na ncho kitabu cha dini yake. Kama mkristu anzani ni Biblia au kama Muislam basi ni Koran. Lengo ni kumjua na kumfuata Mungu basi soma vitabu vyote. Soma Biblia, Koran, Hindu Scriptures, Bavgad Gita, Upanishad, The...
Hizi hadith za kuona nilizisikia kabla sijapata spiritual initiotion na kuzani kwenye meditation kunakuona kama theator za cinema hivi. Nimefanya meditation Lights and Sound kwa miaka 40 sasa uzoefu umenionyesha kwamba ukiona kitu au kusikia chochote wakati wa meditation unakuwa bado unastragle...
Dini imekufunga usidadisi zaidi ya kuamini. Elimu ya kiroho au Spiritual knowledge inapatikana kwa vitendo vya kudadisi na tafakuri. Contemplation and meditation.
Elimu hii inapatikana Rohoni tuu. Hata Yesu alisema ilikuupata ufalme wa Minguni yakupasa uzaliwe mara ya pili. Kwa Mwili na kwa Roho. Pia alisema wamwabudio Mungu kiukweli wanapaswa kumwabudu kwa njia ya Roho na Kweli. KWELI ipo itafute nayo itakiweka huru.
Kweli is beyond mind and words hata ukiijua huwezi kuielezea. Umejitahidi sana lakini watakao kuelewa ni wale waliofika au wale walionjiani kuelekea kwenye Kweli. Kudo sana
Lost years of life of Jesus ilitokea baada ya Baba yake na Mama yake kukumbuka ahadi waliotoa kwa wale Mamajusi waliokoa maisha ya Yesu asiuwawe na Herode.
Kumbuka si waisraeli wala wayahudi na hata wazazi wake walitambua mtoto Yesu anauwezo gani Kroho, bali ni wale mamajusi wataalamu wa nyota...
Usichanganye Uyahudi na Ukikro, Yerusalemu ni mji mtakatifu kwa dini ya Kiyahudi. Yesu licha ya kwamba alizaliwa kwa imani ya Baba na Mama kama myahudi alitengua Uyahudi na Amri kumi. Alifukuzwa kutokufundisha Hekaluni kwani mafundisho yake yalipingana na Uyahudi. Alipokufa wafuasi wake...
Mtoa mada anachanganya kati ya Roho na Moyo. Moyo ni organ ya mwili na Roho ni Uhai. Moyo ni organi ya mwili kazi yake kugawa damu na hewa, wakati Roho ni uwezo wa kuwepo au kuishi.
Pili mtoa maada anamueleza Mungu kwa kutumia akili, ambayo haiwezi kumjua Mungu. Kwani akili inatambua kwa...
Kweli kinyume cha Uwongo. Biblia imesema Mungu ni Kweli na Shetani ni Baba wa Uwongo. Yesu alisema yatupaswa kumuabudu Mungu kwa Njia ya Roho na Kweli. Kuijua kweli lazima tupate picha halisi ya Uwongo kwani kinyume chake cha Uwongo ndio Kweli. Kwa mfano nikikuuliza jee unajua rangi ya Kinyonga...
Wakumbuke kuwa Watanzania wengi hawana uwezo wa kulipia vifurushi vya Bima. Ila wengi walijitahidi angalau watoto wao wapate Bima. Wakiunga mkono sera ya Mama mjamzito, mtoto na wazee wapate matibabu angalau bure au kwa bei nafuu. Sasa hii fall out watoto wengi hawatakuwa na Bima. Kama mzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.