Rwanda hakuna kelele kwasababu Paul Kagame ana akili,,,, usidhani ameingia nao mkataba wa ovyo Kama wa huyu Mama!!
Usimfananishe Kagame na vitu vya kipuuzi..!!
Na sio Rwanda tu hata uingereza Dp world wapo, tatizo sio kuwepo nchi fulani,,, tatizo ni mkataba wa ovyo!! Uingereza na Rwanda wana...