Nadhani wewe ni wale mnaoshindwa kutafsiri lugha kwa njia fasaha na badala yake mnafanya tafsiri sisisi.
Level of confidence kwa muktadha huo ni kiwango cha uhakika au kwa kifupi "uhakika wa utabiri" husika, ambapo wao wamesema ni asilimia 70.
Nyie ndio mkiona maneno "go on" mnasema maana yake...
Mkuu kwanza naheshimu sana mchango wako kwetu. Mimi nilikuwa sijajua kama huu uzi ni wa kudumu ila naona sasa ni wa kudumu na wa uhakika.
Basi naomba kama hutojali uwe una tutag unapotoa post japo nasi tutajitahidi kuhudhuria regularly.
Mwisho kama kuna uwezekano wa mechi za ligi kubwa zote...
Alama ipi unayomaanisha mkuu. Maana kwa mfano kuna picha ikipigwa kwa mfuatiliji (kwa baadhi ya mikoa) atajua hii ni wapi mfano ile ya samaki mwanza, zile dizaini za round-about za moro, dom na Arusha hata kama hujafika unajua hii mkoa fulani japo ni mikoa michache
Na ndio maana wao hawajakaa kubomolewa ila wamesema wao hawawezi kubomoa na wakaomba baada ya zoezi hilo wapewe eneo lingine wajenge, kama uliona Azam News
Nilitegemea ujibu kutokana na swali, kuwa una hakika au umeandika bahati mbaya ila cha kushangaza umeanza kwa kunishambulia japo mi huwa sina kinyongo na watu kama wewe.
Hapo kwenye picha askari wanaonekana wame-concentate na kitu kingine kabisa na sio hayo mabaki, nitafsirie hapo maana ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.