Recent content by MsA11

  1. MsA11

    Hivi TMA mnajua sana kiingereza!

    Nadhani wewe ni wale mnaoshindwa kutafsiri lugha kwa njia fasaha na badala yake mnafanya tafsiri sisisi. Level of confidence kwa muktadha huo ni kiwango cha uhakika au kwa kifupi "uhakika wa utabiri" husika, ambapo wao wamesema ni asilimia 70. Nyie ndio mkiona maneno "go on" mnasema maana yake...
  2. MsA11

    Pep Guadiola asipobeba ubingwa 2017/2018 EPL najitoa JamiiForums kamwe

    Unaelewa maana ya neno "kamwe"?
  3. MsA11

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Lile goli teknolojia nayo inasaidia sana, mtu unaweza kataa
  4. MsA11

    Thread maalum ya kuweka Links za michezo za kuangalia Online hususani mpira

    Mkuu kwanza naheshimu sana mchango wako kwetu. Mimi nilikuwa sijajua kama huu uzi ni wa kudumu ila naona sasa ni wa kudumu na wa uhakika. Basi naomba kama hutojali uwe una tutag unapotoa post japo nasi tutajitahidi kuhudhuria regularly. Mwisho kama kuna uwezekano wa mechi za ligi kubwa zote...
  5. MsA11

    Je ni jengo gani au mradi gani ambao ni signature project ya architects wa Kitanzania?

    Alama ipi unayomaanisha mkuu. Maana kwa mfano kuna picha ikipigwa kwa mfuatiliji (kwa baadhi ya mikoa) atajua hii ni wapi mfano ile ya samaki mwanza, zile dizaini za round-about za moro, dom na Arusha hata kama hujafika unajua hii mkoa fulani japo ni mikoa michache
  6. MsA11

    Nchi kumi bora kwa askari wake kula rushwa Africa, iangalie Tanzania kama ipo

    Polisi vs Diwani Najaribu kutafuta uhusiano
  7. MsA11

    Serikali: Marufuku kupiga kelele Maeneo ya Makazi!

    Sawa, umesikika
  8. MsA11

    DAR: Imamu Msikiti wa Kimara asema wanawaachia TANROADS kubomoa Nyumba ya Allah

    Na ndio maana wao hawajakaa kubomolewa ila wamesema wao hawawezi kubomoa na wakaomba baada ya zoezi hilo wapewe eneo lingine wajenge, kama uliona Azam News
  9. MsA11

    Simshangai Pasco wa JF tu; hapana, nawashangaa waandishi wote wa habari popote pale mlipo nchini!

    Nilitegemea ujibu kutokana na swali, kuwa una hakika au umeandika bahati mbaya ila cha kushangaza umeanza kwa kunishambulia japo mi huwa sina kinyongo na watu kama wewe. Hapo kwenye picha askari wanaonekana wame-concentate na kitu kingine kabisa na sio hayo mabaki, nitafsirie hapo maana ni...
Back
Top Bottom