Recent content by ms_nv

  1. M

    Passion for community service!

    Are you between the age of 18-30 and leaving in Dar-es-Salaam plus having passion of volunteering locally and internationally and engaging in community service works? Rotaract has it all....feel free to contact me for more info and signing up.
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau, hii fixture inanipa wakati mgumu kuielewa (muhindi)! Naomba msaada kueleweshwa 4,6,5,7,9,8 zina maana gani!
  3. M

    Mimi umri wangu unaniruhusu kuwa na familia, lakini mpenzi wangu ana miaka 18

    Kuwa makini kaka! Inaonekana dada anataka pa kupumzika maana kwao hali duni na kumwendeleza hawawezi....vipi wakitokea wajanja wa mjini waliokuzidi uwezo?! We ndo unamjua alivyo na kama she's a wife material....kazi kwako!
  4. M

    Huduma za Catering

    Range ni we mwenyewe how do you want your plate to be! Cha 7k kipo, 20k kipo, 50k kipo, 100k kipo, 5k kipo pia! Ni weweeee tu na how deep does your wallet go dear
  5. M

    Samora Avenue / National Housing

    Samora Avenue ni jina la mtaa ambao unaweza ukakufikisha kwenye ofisi za NHC! Panda basi za posta, shuka posta mpya. Utakapoiona Samora Avenue, nyoosha nayo kama unaenda stesheni mpaka utakutana na hizo ofisi.....au just along the Samora Avenue unaweza uliza ofisi za NHC zilipo, utaelekezwa.
  6. M

    Nina Diploma ya Kilimo na Mifugo, Natafuta Sehemu ya Kujitolea

    Too bad! Aliipost hapahapa JF! Uwe unapitia post mpya zote dear, inaweza kukusaidia
  7. M

    Nina Diploma ya Kilimo na Mifugo, Natafuta Sehemu ya Kujitolea

    Mcheki huyu mtu....silijui jina lake but niliona anatafuta watu wa aina yako. Deadline ni leo.....step up 0716387476
  8. M

    WanaJF naombeni msaada wenu

    Niliwahi kufanya intern kwenye kampuni moja hapa jijini ya bima as an underwriter....supervisor wangu alikuwa na cheo hicho cha uLoss Assessor.... kwa maono yangu ya mbali, niliona kama inalipa ndio. Itategemea unafanya na kampuni gani. Kuna kampuni zinazosifika kwa kutolipa au kuchelewesha...
Back
Top Bottom