Recent content by Ms Yahaya

  1. Ms Yahaya

    Simulizi: Nitawatetea

    nakuona best yangu kipenzi
  2. Ms Yahaya

    Najikaribisha na pia nakaribisha marafiki

    asante! ngoja nikakichukue
  3. Ms Yahaya

    Najikaribisha na pia nakaribisha marafiki

    hello! naitwa mariam najikaribisha na pia nakaribisha marafiki. kama hutojali naomba uni follow nami nafanya hivyo hivyo. asanteni
  4. Ms Yahaya

    Barua ya wazi kwako Mwalimu

    Kwako Mwalimu. Mwalimu, nakumbuka siku ya kwanza tulikutana shuleni kwako. Nikiwa kama mzazi niliyeingiwa na usasa na kuachana na mila za kale za kumfungia mwanangu wa kike ndani, nikaona nikukabidhi wewe mwalimu. Nilifanya hivyo nikitegemea kuwa mwanangu angepata malezi bora katika mikono...
  5. Ms Yahaya

    Simulizi: Nitawatetea

    Simulizi; NITAWATETEA Sehemu ya PILI (02) Mwandishi; MARIAM YAHAYA Namba; 0744654969 __________________ (Ilipoishia) Familia yao waliishi kiafrika zaidi kwani ilijaa watu kweli kweli, alikuwepo babu yake mzaa baba, binamu, baba zake wadogo wawili, bila kusahau hao ndugu zake wengine amabao...
  6. Ms Yahaya

    Simulizi: Nitawatetea

    Simulizi; "NITAWATETEA" Sehemu Ya Kwanza (01) Mwandishi; MARIAM YAHAYA Namba; +255744654969 ***************************** RORYA Ni katika kijiji cha Nyanchabakenye, ilikua siku ya jumamosi tulivu sana ambayo ilipambwa na jua la alfajiri lisilokuwa na makali. Kwa mbali walisikika ndege...
Back
Top Bottom