MTAZAMO Mana sijui katiba inasemaje juu ya afya ya anayetaka kugombea Urais.
Niugonjwa ulomsumbua kwa mda mrefu Kama wasemavo,na tukumbuke alipitia jeshi na kuweza kuhimili mikiki yote,
Ivo nazan pia aliamini ataweza kuongoza vipindi vyake vyote vya uongozi nakusahau wakati unapanga...
Hakuna ajuaye kesho yetu,ata angeshika ambaye unamini ni mzima wa afya angeweza kufa hata ndani ya mwaka mmoja,
Kilakitu ni mipango ya Mungu,tujifunze kushukuru kwa kilajambo
Zilikuwepo,Ila naye kwanafasi yake amefanya kulingana na ilani inavosema,hivo na Rais mwingine baada ya Magufuli naye naye atafanya kwanafasi yake katika miundombinu kwa kutumia Kodi za wananchi kwa manufaa ya wananchi wake .
Ndio maana kuna usalama wa taifa, hivyo taarifa za kiongozi tena ngazi ya juu haziwezi kutolewa tu pasi na utaratibu, Mana huwezi jua adui yake ni nani? Na mzuri wake ni nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.