Recent content by Mrsaulingi

  1. M

    Wakisema waendesha bodaboda sawa, ila hata kwa Wasomi? Tumepoteza matumaini

    Hivi ni nani aliye huko CCM ambaye sio mwizi?kuhusu Ikulu kutokuwa pango la walanguzi ilikuwa zamani hizo za utawala wa nyerere lkn sasa hivi ni mashaka matupu.angalia wale wote wanaoishi humo walioingia na wanapotoka huwa na ukwasi wa kutisha.mikataba kibao ya wizi ilisainiwa na watu wa huko...
  2. M

    Lissu amepata wapi ujasiri wa kumshambulia Dr. Slaa na familia yake?

    Lissu kasukumwa na hasira dhidi ya msaliti. Kuhusu kujibu hoja na kuthibitisha kwani Slaa kathibitishaje kuhusika kwa lowasa kwenye Richmond?zaidi kaendekeza chuki binafsi dhidi ya mh.lowassa na pengine hasira za kukosa nafasi ya kugombea urais. Hoja hapa ni slaa kusaliti upinzani na...
  3. M

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Yaani wewe ndo tutusa kabisa,yani unamfananisha nyerere na Huyu mzee slaa?tena kiuadilifu?hebu nipe japo tuhuma tu ya mwl.nyerere ILA za slaa zipo tangu akiwa CHADEMA kuanzia ishu za tenda,mke wa mtu,kununuliwa na magamba,n.k na mwisho sio sheria kumkubali nyerere kwn itikadi zake hata mimi...
  4. M

    Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

    huwezi kuona hoja Kwan hata babu hakuwa na hoja zaidi ya kuja na propaganda zile zile za kijani.Ni aibu sana kuimplicate matatizo yote ya nchi hii kwa Richmond na lowasa wkt mchawi wetu na mawakala wake TUMESHAWAJUA,hakika ni UKAWA/LOWASA TU ndio watakaotutoa hapa
  5. M

    Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

    Wewe ni mtu WA ajabu sana kumwita binadamu mwenzako hana doa,ye MUNGU?kwangu mimi MV DAR ES SALAAM,ishu ya wale wavuvi WA samaki,barabara mbovu,nyumba za serikali,lile lihoteli,n.k ni madoa Tosha kabisa.
  6. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    kama dhumuni ni kuelezea kuondoka kwake CDM,mbona kajikita sana kwenye kutuaminisha kuwa lowasa hatufai?pia kama ni hivyo mbona kaenda kuwashambulia na wengine kama sumaye ambae kaja muda mrefu sana baada ya yeye kuondoka?kifupi alikuwa anaichambua UKAWA kwa niaba ya genge la waliomtuma.ila...
  7. M

    Dodoma kimenuka, Polisi watanda eneo la mkutano, baadhi ya wananchi wanaandamana

    January hana ushawishi wowote kuliko pinda,wasira,mwakyembe,lowasa n.k ila nahisi wanamwandaa kwa awamu ya sita (zamu ya waiskamu).inakera sana hawa maccm kutupangia na kutulazimishia viongozi wao wa hovyo.na bahati mbaya watz wengi ni mapopoma sana yako usingizini.
  8. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    jamani naombeni msaada kama kuna namna naweza kufanya ili niweze kutumia decorder ya GTV na dish lake.
  9. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    jamani mimi nina dish nlinunua na king'amuzi cha GTV sasa nataka kujua je kuna namna nyingine naweza kuitumia tena ile receiver ya GTV?na dish lake pia?
Back
Top Bottom