By y-n:
nywele za sehemu za siri,ukichanganya na mguu wa kushoto wa bundi,ongezea na manyoya mawili ya chiriku,mbona utaijua dunia,MWANZA faster sana zaidi ya fast jet
Hahahaaaaaaaa!! Mkubwa una experience!!😁
Aaaaarrrggg!!! Nahisi hasira mpk natetemeka huyo Bwire ni zaidi ya shetani, kwa nini hao policcm wamemuokoa kwa wananchi!!! Huyo anastahili KIFO tu na sio adhabu nyingine loh.... Jibabu zima halina haya ujana wake wa kuvaa bukta lilikuwa wapi? Uzee wa kuvaa msuli ndo linajifanya lina mawivu ya...
Kila kukicha waTZ wanagundua mbinu mpya za kufanya utapeli hii yote ni inatokana na ugumu wa maisha na Akita uliopo nchini kwetu!! Ipo haja ya serikali kuchukua hatua!! By the way ni (mtizamo tu!!)
Ugumu wa maisha unawasababisha binadamu kuwa kama wanyama!! Hao watu inaonyesha wamemfuatilia tangu bank, ipo haja ya kuongeza umakini unapoenda kuchukua hela bank sio sawa kama utachukua hela openly(dirishani) ni vyema ukichukua kwa Siri wateja wengine wasione!! Hii habari imenigusa coz hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.