Recent content by MropeJP

  1. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi aliye re seat hutumia namba gani ya mtihani wa kidato cha nne kuomba mkopo

    Tumia namba ambayo ni recent, lakini wakati wa kujaza taarifa zako kuna option ya kujaza namba zote kwa wale walio fanya mtihani zaidi ya mara moja. Nadhani ni muhimu zaidi taarifa ie namba zote mbili zikawapo kwenye form yako.
  2. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Wadau Kuna aliyefanikiwa kuomba hizi nafasi mpya za kazi Wizara ya kilimo? Naomba mnisaidie kitu hapa

    Kwa uelewa wangu, general agriculture ni level ya diploma ila kwa degree level programu hio inaitwa BSC Agriculture general.
  3. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Wale wa ukerewe kazi kwenu
  4. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya ya HKL anaweza pata University Admission?

    Habari! Poleni na majukumu ya kila siku. Nina ndugu yangu amemaliza form 6 mwaka huu kama private candidate na amepata C ya historia, E ya kiswahili na E ya kiingereza. Je, kwa matokeo haya anaweza pata university admission? Maoni yenu tafadhali.
  5. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Majina ya walioitwa kazini TPA kupitia Utumishi yalishatokaga?

    Kaka unataka sema kuna kada ambao walifanya usaili hio mwezi wa 5 na majibu yao hayapo kwenye huu mkeka!?
  6. MropeJP

    JamiiForums Tanzania Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

    Usiamini kua umekosa mpaka majina yatakapo toka. Kati yetu humu sidhani kama kuna mtu wa utumishi, hamna mwenye uhakika. Subiri majina yatoke kwanza
Back
Top Bottom