Recent content by Mronga

  1. M

    Kuna Faida kubwa kwa wagombea Urais kujitokeza mapema

    Wananchi wanahitaji muda kuwapima wale wanaotaka kuongoza taifa. Naamini kadri watakavyowafahamu mapema ndivyo pia watakavyokuwa na muda wa kutosha wa kuwapima uwezo wao katika nyanja zote. Rais ni mmoja kati ya watu 45m wa Tanzania ni muhimu tupate the best individual. Wananchi wapate muda wa...
  2. M

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    Hekima ni kitu cha kipee sana na ndiyo imekosekana kwenye kikao cha Bunge leo. Huwezi kukataa kusikiliza kitu ila unakataa ujumbe uliopo baada ya kusikiliza. Kiongozi wa upinzani ana nafasi kubwa Bungeni. Je kama ujumbe huo ni jambo la hatari kwa maisha yao wakati huo hapo Bungeni Naibu Spika...
  3. M

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    Ni jambo baya sana kutaja majina ya watu kwa shutuma nzito kama za kuuza unga wakati huweza kuonyesha ushahidi wowote na ni watu wenye akili ndogo tu wanaofanya mambo ya aina hiyo. Taarifa ya mfungwa wa Hongkong ni muhimu kwa Polis wafanyie kazi bila kuingiza urafiki ndani yake kwa kuwa jina la...
  4. M

    Kikao cha dharura cha CCM mchana huu

    Kikwete kaacha wateule wake hasa baadhi ya makatibu wakuu waonevu wakaonea wadogo, nao wadogo wakamlilia Mungu sasa Mungu anawachapa viboko wote na kaanzia juu na haitaisha hadi Kikwete aondoe hao waonevu wote bado wapo.
  5. M

    Ni nani atakuwa Waziri Mkuu Mpya!

    Lawasa atafaa sana kwa sasa njia aliyopita hata Segerea nafuu
  6. M

    Pinda awasimamisha katibu mkuu wa wizara ya afya na mganga mkuu

    Mhe Rais na Waziri Mkuu, maendeleo yanaletwa na vichwa vya wataalam siyo viongozi wagomvi ambao kila walikokopita na hata waliko sasa hawaelewani na watendaji, viongozi wenzao na hata taasisi nyingine. Kiongozi wa aina hiyo hafai kwa hali tuliyo nayo sasa. Utasikia kagombana na kiongozi mwenzake...
  7. M

    Pinda awasimamisha katibu mkuu wa wizara ya afya na mganga mkuu

    Makatibu wakuu wasiyo na Uweza wa kutawala watu wako wengi ambao Mhe Rais anatakiwa afanye maamuzi magumu ya kuwasafisha katika Serikali, wamefanya nchi imekuwa maskini kwa utendaji mbovu na hawana mawazo yoyote ya maendeleo zaidi ya kuvuruga mazuri waliyoyakuta na wataalamu waliyo chini yao...
  8. M

    Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

    Mama aelewe kuwa Mungu ni mkamilifu na usijifanye ni mtumishi wake kama huna mikono safi. Arejee kwenye mambo yake akayasafishe yote ataona jamii itamkubali kama mfuasi safi wa Mungu. Jamii ni sauti ya Mungu kwa ujumla hakuna mtu safi anayeweza kusutwa na jamii. Jamii ikikukubali uelewe kuwa...
  9. M

    Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

    Viongozi hawana sababu za kuogopa mitandao ya jamii, badala yake wangeipenda kwa kuwa inawafanyia self assessment.
Back
Top Bottom